Waislam nijibuni hili

Ni kweli unayoongea, naomba radhi kama nimeongelea kikejeli na hilo sio lengo langu, Wakati naandika hiyo comment nilijawa na hasira kwa mleta maada kwa dharau na kejeli dhidi ya watu na dini yao. Kwenye uwanja wa siasa kashindwa kupata support na sasa anatumia mbinu ya kutenganisha watu kwa kutumia dini zao
vizuri kiongozi!
 
Nilisikia na baadae kuona Mbwana Samatta katoa sadaka ya kujenga msikiti eneo lile lingetosha shule, hospital au kiwanda kidogo, kwa nini msikiti na pale kuna misikiti kibao inamaana zawadi ni msikiti tu hamtaki maendeleo zaidi ya misikiti?

Wakati nikiwa Morogoro nilishuhudia IGP mstafu mzee mahita akikabidhi msikiti licha ya eneo lile kuwa kubwa angeweza kujenga shule, zahanati au kitega uchumi chochote kitoe ajira watu wanufaike ,nikajiuliza zawadi ya maana ni msikiti

Misaada mingi ya mataifa ya kiislamu yaliyopiga hatua kama Qatar, Saudi Arabia,Brunei, Irani, Kuwait ,Oman na n.k wanaleta pesa wajenge misikiti mfano ule msikiti mkubwa pale Dodoma wa ghadafi angeweza kujenga chuo,shule ,zahanati na pale Dodoma misikiti ipo kibao kwa nini msikiti?

Juzi nimemuona msanii mkubwa yule ambaye anhmgeweza kujenga shule pale kigoma,zahati au hata kiwanda amechoma pesa kwa kujenga msikiti na pale kigoma misikiti imejaa kila mtaa hivi hakuna cha maana zaidi ya misikiti.

My take
Kuna haja mjipange maana mnatumia nguvu kubwa kujaza misikiti lakini maeneo mnayokaa yamejaa changamoto za shule, zahanati, vyuo na kero chungu mzima, jiongezeni

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Tofauti ya Nchi za ulaya na Nchi zenye waisilamu ni media, Hype, kujisifu etc.

Nchi za Kiarabu zinatoa misaada kama vile za Ulaya sema tu haitangazwi tangazwi kama wale jamaa ambao kila tangazo likiisha utasikia imeletwa kwa msaada wa watu wa marekani.

Dini ya kiisilamu inakataza watu kutoa misaada na kujisifia.

Mkuu tuchukulie mfano wa Kuwait kanchi kadogo kama wilaya Ya Tanzania, maneno haya kutoka mdomoni kwa raisi mwenyewe amesema.
1. Wamefadhili zaidi ya bilioni 100 kujenga barabara Tabora 85km
2. Wamefadhili zaidi bilioni 100 hospitali znz
3. Wamejenga visima shule 27 Dar
4. Vifaa clinic ya Jk zaidi ya milioni 500
5. Wamesaidia magari ya Takataka kuiweka dar safi


Sasa fikiria kanchi kadogo tu kanamwaga mamia ya mabilioni kimahisara tu na hakuna publication yoyote.

Kuna project nyingi sana na misaada mingi sana toka nchi za gulf kuja Tanzania. Kama upo interested naweza chukua muda wangu na kuziweka hapa.
 
Kama kujenga visima na misikiti ni Swadaqat Jaariya basi hata kujenga shule & hospital nayo pia ni Swadagat Jaariya, i mean utaendelea kupata swawabu maana jamii itaendelea kupata elimu na matibabu vizazi na vizazi.

Muhimu viongozi wa dini husika wajitahid kuwanywesha waumini maziwa badala ya kuwanywesha sumu.
 
Halafu kujenga msikiti ni boma tu kama kujenga chumba cha darasa moja, kinachonishangaza huwa nivgharama zake.
Utasikia msikiti umegharimu bilioni, huwa sielewi.

Anyway ni misikiti yao.
 
Acha Ujinga huko unakosema ni Mashariki ya kati???Elewa nimesema Mashariki ya kati nakupa tena nafasi taja nchi yoyote ya Mashariki yenye amani kama Tanzania!!!!
Jordan,UAE,Oman zinatosha..umeonyesha ujinga wako kwa kuitolea somalia mfano na yenyewe iko mashariki ya kati?Ila hizo nchi nilizozitaja mwanzo zimekuumiza roho pole sana bwana mdogo!!!
 
Unajua kusoma? Kwa ufasaha?

Wapi nimeandika unazitamani pesa za mtu mwingine?

Wapi nimeandika huna na hujazifanyia chochote?

Unaweza kunipa nukuu ya maneno yangu nilipoandika hayo?

Au una kifaduro cha ubongo kimekufanya ukose kujua kusoma kwa ufahamu?

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kiranga una kichaa.
 
Tofauti ya Nchi za ulaya na Nchi zenye waisilamu ni media, Hype, kujisifu etc.

Nchi za Kiarabu zinatoa misaada kama vile za Ulaya sema tu haitangazwi tangazwi kama wale jamaa ambao kila tangazo likiisha utasikia imeletwa kwa msaada wa watu wa marekani.

Dini ya kiisilamu inakataza watu kutoa misaada na kujisifia.

Mkuu tuchukulie mfano wa Kuwait kanchi kadogo kama wilaya Ya Tanzania, maneno haya kutoka mdomoni kwa raisi mwenyewe amesema.
1. Wamefadhili zaidi ya bilioni 100 kujenga barabara Tabora 85km
2. Wamefadhili zaidi bilioni 100 hospitali znz
3. Wamejenga visima shule 27 Dar
4. Vifaa clinic ya Jk zaidi ya milioni 500
5. Wamesaidia magari ya Takataka kuiweka dar safi


Sasa fikiria kanchi kadogo tu kanamwaga mamia ya mabilioni kimahisara tu na hakuna publication yoyote.

Kuna project nyingi sana na misaada mingi sana toka nchi za gulf kuja Tanzania. Kama upo interested naweza chukua muda wangu na kuziweka hapa.
Acha Bas....jaribu hata kuficha ujinga wako
 
Muhammad alianzisha shule au hospitali???
Uislam haukukua kwa diplomacy ndugu bali fuatilia historia ya vita vya Ridda

Yaelekea unafatilia historia ya uislam, hongera. Ukiisoma historia ya Uislam, wakati wake Muhammad dini haikuwa haya mambo yanayofanywa Leo na waislam, waislam wa Leo wamekopi kutoka kwa ukristo wa kale kuwa dini ni na kufanya mambo ya ukasisi, ukuhani wala utawa pekee sawa na maandiko matakatifu ya biblia. Yaani unapoongelea kuhusu dini kwao ni mambo yanayohusu roho pekee, na kuwa kazi ya makasisi ni ushenga kati ya wanadamu na Mungu. Kwamba kazi ya makasisi ni kukuombea Ili Mungu akufutie dhambi na kukupa pepo. Na mashekhe nao wakaiga na wakajipa hadhi ya kujenga upatanushi kati ya mwanadamu na Mungu. Ni ajabu wenzetu wakristo na hasa wakatoliki Sijui wanafata maandiko gn yanayowahimiza kujenga shule na mahospitali sasa. Kazi hii ilipaswa kufanya na waislam. Na ndio maana tukifatilia historia kuna kipimdi kilichojulikana kama the Golden's age of Islam. Ambapo mambo ya yote ya maelndeleo ulimwenguni waliongzwa na waislam.

Hata hivyo vyeo vya ushekhe havikuwapo wakati wa mtume. Asili ya neno sheikh limeibuka miaka 150 iliyopita linatokana na neno la kigiriki senex likiwa ma maana Mbunge.

Historia inatueleza kuwa wakati wa mtume dini ilifahamika kama ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu. Na kiongozi wa dini hakuwa na kazi ya kuwaombea dua viongozi wengine wa kisiasa au wagonjwa. Bali Kiongozi wa dini alikuwa ndie mtawala. Kwa hivyo dini ilikuwa na maana ya mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu ambapo uligusa kila kipengele cha maisha. Uchumi, utamaduni, utawala na idara zake, zikiwemo mambo ya elimu, afya nk. Haya yalifahamika kama mahitaji ya mwili ili uweze kutimiza mahitaji ya roho. Tofauti na sasa MTU anaweza kufanya ufisadi maofisini na akazichukua pesa zile kwa ajili ya kujenga nyumba ya ibada. Na kiongozi akazibariki pamija na kumpa pepo. Huu ni upuuzi kabisa. Binadamu anapaswa mwilini wake ufanye mambo mazuri yanayompendeza Mungu kwa ajili ya roho take baada ya kufa. Na sio kuchanganya hali na batili pamoja.


Hivyo mitume hawakuacha jambo lolote la kijamii kwa kuona haliwahusu. Na kwa vile alikuwa anatangaza ujumbe yoka kwa mungu Mara kadhaa aliwafanyia miujiza ili wapate kumuamini. Sasa nikirudi kwenye hoja zako. 1. Suala la dini na dipolmasia Muhammad (saw) alikuwa ni mwanadiplomasia aliyetukuka, fatilia mkataba wa kidiplomasia uliojulikana kama Sulhu ya Hudaibiya au Hudaibiya Treaty. Mkataba huu haukuwapendeza walio wengi ktk wafuasi wake wakiona wamedhalilika, kwa kuzuiliwa kuingia makka kwenda kufanya hija. Lkn mtume aliyakubali matakwa ya wasiokuwa waislam wa wakati ule na akaepusha vita. Na hicho kinachoitwa Ridda hakikuwapo wakati wa mtume.

2. Kuhusu kujenga hospitali au Universities. Msingi wa kwanza wa dini hii ni kusoma. Iqra, soma. Hivyo dini imetutaka tusome. Na haikusema kusoma nini, soma chcht kwa ajili ya Mungu.

Na Ipo hadithi mtume akisisitiza hilo kwa kuhimiza waislam wakatafute elimu haya ikiwa uchina, kuhusu hospitali wakati wa mtume hakukuwa na majengo mfano wa hospitali tulizonazo. Kipindi kile madakari ndio waliowafata wagonjwa majumbani kwao. Bali kulikuwa na hopstili mfano wa kambi za muda kwa magonjwa ya milipuko na kuambukiza. Ipo hadithi mtume anasema, Mungu hajaleta ugonjwa wowote isipokuwa una dawa. Hivyo utaona jinsi gani alivyohimiza kufanya tafiti juu ya tiba kutokana na magonjwa mbalimbali.

Hata hivyo mapinduzi makubwa ya tiba za kisasa ziligungulika kipindi kinavhofahamika kama muslim goldern age. Kipindi cha haroun rashid ktk dola ya Abbasid Caliph ambapo duniani kote walitegemea mambo ya kielimu ikiwepo tiba ktk jiji LA Baghdad.

Historia pia inaonyesha chuo kikuu cha kwanza kilipatikana Morocco University of Karueein na baadae Cairo, Azhar University. Wakati huo ulaya na hasa ugiriki kulikuwa na mfano wa hospital wakitibu kwa kutumia maombi.
 
Siku ingine summarize...tuna familia za kuhudumia sio muda ote tunasoma article Jf...
1.Muhammad anabrandiwa kuwa the greatest diplomat lakin ebu fikiria mecca ilavamiwa na waquraysh wakanyanganywa mji wao kwa upanga kwa msemo 'silimu au lipa jizya'...hiyo ni diplomasia???
2.Hapa actually nlikuwa naongelea kipindi cha Muhammad lakini wewe umebase Kwenye "golden age"..... I'm not going to argue about this my friend but keep in mind hakuna dini duniani yenye propaganda nyingi za kujisifu kama uislam
Yaelekea unafatilia historia ya uislam, hongera. Ukiisoma historia ya Uislam, wakati wake Muhammad dini haikuwa haya mambo yanayofanywa Leo na waislam, waislam wa Leo wamekopi kutoka kwa ukristo wa kale kuwa dini ni na kufanya mambo ya ukasisi, ukuhani wala utawa pekee sawa na maandiko matakatifu ya biblia. Yaani unapoongelea kuhusu dini kwao ni mambo yanayohusu roho pekee, na kuwa kazi ya makasisi ni ushenga kati ya wanadamu na Mungu. Kwamba kazi ya makasisi ni kukuombea Ili Mungu akufutie dhambi na kukupa pepo. Na mashekhe nao wakaiga na wakajipa hadhi ya kujenga upatanushi kati ya mwanadamu na Mungu. Ni ajabu wenzetu wakristo na hasa wakatoliki Sijui wanafata maandiko gn yanayowahimiza kujenga shule na mahospitali sasa. Kazi hii ilipaswa kufanya na waislam. Na ndio maana tukifatilia historia kuna kipimdi kilichojulikana kama the Golden's age of Islam. Ambapo mambo ya yote ya maelndeleo ulimwenguni waliongzwa na waislam.

Hata hivyo vyeo vya ushekhe havikuwapo wakati wa mtume. Asili ya neno sheikh limeibuka miaka 150 iliyopita linatokana na neno la kigiriki senex likiwa ma maana Mbunge.

Historia inatueleza kuwa wakati wa mtume dini ilifahamika kama ni mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu. Na kiongozi wa dini hakuwa na kazi ya kuwaombea dua viongozi wengine wa kisiasa au wagonjwa. Bali Kiongozi wa dini alikuwa ndie mtawala. Kwa hivyo dini ilikuwa na maana ya mfumo kamili wa maisha ya mwanadamu ambapo uligusa kila kipengele cha maisha. Uchumi, utamaduni, utawala na idara zake, zikiwemo mambo ya elimu, afya nk. Haya yalifahamika kama mahitaji ya mwili ili uweze kutimiza mahitaji ya roho. Tofauti na sasa MTU anaweza kufanya ufisadi maofisini na akazichukua pesa zile kwa ajili ya kujenga nyumba ya ibada. Na kiongozi akazibariki pamija na kumpa pepo. Huu ni upuuzi kabisa. Binadamu anapaswa mwilini wake ufanye mambo mazuri yanayompendeza Mungu kwa ajili ya roho take baada ya kufa. Na sio kuchanganya hali na batili pamoja.


Hivyo mitume hawakuacha jambo lolote la kijamii kwa kuona haliwahusu. Na kwa vile alikuwa anatangaza ujumbe yoka kwa mungu Mara kadhaa aliwafanyia miujiza ili wapate kumuamini. Sasa nikirudi kwenye hoja zako. 1. Suala la dini na dipolmasia Muhammad (saw) alikuwa ni mwanadiplomasia aliyetukuka, fatilia mkataba wa kidiplomasia uliojulikana kama Sulhu ya Hudaibiya au Hudaibiya Treaty. Mkataba huu haukuwapendeza walio wengi ktk wafuasi wake wakiona wamedhalilika, kwa kuzuiliwa kuingia makka kwenda kufanya hija. Lkn mtume aliyakubali matakwa ya wasiokuwa waislam wa wakati ule na akaepusha vita. Na hicho kinachoitwa Ridda hakikuwapo wakati wa mtume.

2. Kuhusu kujenga hospitali au Universities. Msingi wa kwanza wa dini hii ni kusoma. Iqra, soma. Hivyo dini imetutaka tusome. Na haikusema kusoma nini, soma chcht kwa ajili ya Mungu.

Na Ipo hadithi mtume akisisitiza hilo kwa kuhimiza waislam wakatafute elimu haya ikiwa uchina, kuhusu hospitali wakati wa mtume hakukuwa na majengo mfano wa hospitali tulizonazo. Kipindi kile madakari ndio waliowafata wagonjwa majumbani kwao. Bali kulikuwa na hopstili mfano wa kambi za muda kwa magonjwa ya milipuko na kuambukiza. Ipo hadithi mtume anasema, Mungu hajaleta ugonjwa wowote isipokuwa una dawa. Hivyo utaona jinsi gani alivyohimiza kufanya tafiti juu ya tiba kutokana na magonjwa mbalimbali.

Hata hivyo mapinduzi makubwa ya tiba za kisasa ziligungulika kipindi kinavhofahamika kama muslim goldern age. Kipindi cha haroun rashid ktk dola ya Abbasid Caliph ambapo duniani kote walitegemea mambo ya kielimu ikiwepo tiba ktk jiji LA Baghdad.

Historia pia inaonyesha chuo kikuu cha kwanza kilipatikana Morocco University of Karueein na baadae Cairo, Azhar University. Wakati huo ulaya na hasa ugiriki kulikuwa na mfano wa hospital wakitibu kwa kutumia maombi.
 
Can't the Bible have a lot of bullshit and at the same time a lot of wisdom?

Did I ever say that the Bible is unquotable?

Some of the points in the Bible were there long before the Bible existed.

They were taken from "The Epic of Gilgamesh" and "The Egyptian Book of The Dead".

Do you know that? Do you know these books?

Do you know that some people use the Bible because of the currently easily accessible nature of its contents?

Do you know that you are presenting a logical non sequitur by equating the statement "the Bible is full of bullshit" with "the Bible is fully unquotable"?

Do you understand the two are not the same?

Do you understand that "The Prophecies of Nostradamus" are also full of bullshit, but, that does not make them unquotable.

Do you know that Homer's "The Iliad" and "Odyssey" are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that "The Satires of Juvenal" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Boccaccio's "The Decameron" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Drakes equation is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Aesop's Fables are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that Wittgenstein's "Philosophical Investigations" is full of bullshit, but that dies not make it unquotable.

Do you know that Freud's "The Interpretation of Dreams" is full of bullshit, but that does nit make it unquotable.

Do you know that a book can be so quotable despite being full of bullshit?

Do you know that a book can be so quotable because it is full of bullshit?





Sent using Jamii Forums mobile app
I didn't say
Can't the Bible have a lot of bullshit and at the same time a lot of wisdom?

Did I ever say that the Bible is unquotable?

Some of the points in the Bible were there long before the Bible existed.

They were taken from "The Epic of Gilgamesh" and "The Egyptian Book of The Dead".

Do you know that? Do you know these books?

Do you know that some people use the Bible because of the currently easily accessible nature of its contents?

Do you know that you are presenting a logical non sequitur by equating the statement "the Bible is full of bullshit" with "the Bible is fully unquotable"?

Do you understand the two are not the same?

Do you understand that "The Prophecies of Nostradamus" are also full of bullshit, but, that does not make them unquotable.

Do you know that Homer's "The Iliad" and "Odyssey" are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that "The Satires of Juvenal" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Boccaccio's "The Decameron" is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Drakes equation is full of bullshit, but that does not make it unquotable.

Do you know that Aesop's Fables are full of bullshit, but that does not make them unquotable.

Do you know that Wittgenstein's "Philosophical Investigations" is full of bullshit, but that dies not make it unquotable.

Do you know that Freud's "The Interpretation of Dreams" is full of bullshit, but that does nit make it unquotable.

Do you know that a book can be so quotable despite being full of bullshit?

Do you know that a book can be so quotable because it is full of bullshit?





Sent using Jamii Forums mobile app
I didn't say you can't quote bullshit, you quote bullshit to back up your point, you reinforce you point by bullshit.
 
Back
Top Bottom