Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,587
- 215,184
Kuna bwana mmoja Mtanzania ni fundi huko Ulaya. Ana kampuni yake ndogo na van la kazi. Huwa anaajiri cash in hand wengi kutoka Romania na Poland. Ifundi wa huyu bwana ni:
1. Fundi bomba, hutengeneza mabomba yaliyoharibika na pia kufunga mashine za kufulia.
2. Fundi umeme na gas, hutengeneza heaters na boilers hasa kipindi cha baridi huitwa hata usiku.
3. Brick layer, kama unahitaji kujenga conservatory au kupandisha ukuta wa fence.
Nilipata kumuuliza ujuzi huu aliupata wapi. Alinijibu aliingia Ulaya akiwa kijana na alipata matatizo yaliyopelekea kufungwa jela. Akiwa jela alijifunza ufundi wote huo.
Unasoma certificate, ukifaulu vizuri unaanza kufanya kazi. Nusu ya mshahara unapewa kama pocket money. Ukitaka kuendelea na diploma unaweza.
Yeye aliamua kusoma certificate ya vitu vitatu tofauti. Aliniambia kuwa mfungwa kumekuwa na mafanikio ambayo mtaani aingeyapata.
Nilitafakari jinsi jela inavyoweza kubadilisha maisha ya watu.
1. Fundi bomba, hutengeneza mabomba yaliyoharibika na pia kufunga mashine za kufulia.
2. Fundi umeme na gas, hutengeneza heaters na boilers hasa kipindi cha baridi huitwa hata usiku.
3. Brick layer, kama unahitaji kujenga conservatory au kupandisha ukuta wa fence.
Nilipata kumuuliza ujuzi huu aliupata wapi. Alinijibu aliingia Ulaya akiwa kijana na alipata matatizo yaliyopelekea kufungwa jela. Akiwa jela alijifunza ufundi wote huo.
Unasoma certificate, ukifaulu vizuri unaanza kufanya kazi. Nusu ya mshahara unapewa kama pocket money. Ukitaka kuendelea na diploma unaweza.
Yeye aliamua kusoma certificate ya vitu vitatu tofauti. Aliniambia kuwa mfungwa kumekuwa na mafanikio ambayo mtaani aingeyapata.
Nilitafakari jinsi jela inavyoweza kubadilisha maisha ya watu.