HAbari zenu wakuu?
Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine.
Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
Kwa hali ya Maisha iliyopo saivi Ni bora nisioe au nioe basi tuu maana kuzini kumekuwa kama jambo la kawaida. Nipo hapa geto naishi na jirani yangu ambaye ni mfanya kazi mwajiliwa wa sarikali, pia ameoa, NA mimi ni mwanafunzi bado.
Sasa kinacho nipa shida kila siku ni kuwaza kuhusu hawa...
Natafutasimu aina ya nokia 3310 3g,4g, nokia 8110 4g iliyotumika au hata kama ni mpya nna shida nayo sana, na kuhusu mahali ulipo haina shida ili mradi upo Tanzania nitakupata tuu. Na kma maduka ya simu ipo mahali unaweza ukanisaidia kunipa mawasiliano maana nmeangalia maduka ya Mbeya na Mwanza...
Nimeamini kweli suala la kusex kwa mala ya kwanza si jambo dogo maana nimejionea mwenyewe.
Mimi ni kijana mwenye umli wa miaka 19 ivi katika kupambana kwangu sijawahi kufanikiwa
adi sasa, Ngoja nikwambie ukweli;
Niliwahi kwa mala ya kwanza kungea ne mtoto wa kike akanielewa akaw a...
Wakubwa poleni na majukumu,
mimi nipo apa guest kwa mala ya kwanza ndo nipo na demu iv ila sasa kasema nivae modo
sasa ndo nipo najiuliza je nikifika dukani niulze nn maana naogopa kusema nahitaji condom
jamani nisaidieni nisije aibika mwenzenu, wenzangu cjui huwa mnasemaje mkifika madukani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.