Wanazengo naandika uzi huu kwa hasira sana.Kuna manzi anabana sana papuchi.
Nimemuandalia mitego mingi atoe papuchi ila ndio imeshindikana.ataruhusu vyote lakini si papuchi.sasa simuelewi mashetani yake yamekalia wapi huyu ndege.
Hii tabia inachukua muda mrefu sasa mpaka naanza kumkifu sasa...
Waungwana samahani nina shida sana, nasumbuliwa na maumivu ya kiuno yaani kinauma balaa. Kukaa tabu, kuinama taabu, shida hasa ni nini? Wadau mbalimbali wanadai dawa yake ni kupiga show sasa mbona hizo show hata nikipiga sioni mafanikio? Kama kuna mtu anafahamu dawa mbadala naomba anijuze...
Waungwana hivi ni kweli soda aina ya Coca-Cola inaweza kumsababishia binti asipate ujauzito pale tu atakapoitumia endapo atakuwa amekutana na mwanaume siku za heri za ujauzito?
Naomba msaada wataalama wa pc kama kichwa cha uzi kilivyo.
pc yangu inaandika window lisence will expire soon activate it.
Sasa kila nikienda setting kui activate inazingia nifanyeje?
Samahan waungwana Nina tatizo kurekebisha koo/kukohoa kwa kuhisi Kama nna kikohoo lakin sivyo.nimepima afya iko njema kifua Safi nikapewa dawa ikatulia kidogo lakin Tena Hali imejirudia.shida itakua nn? Je Kuna dawa naweza tumia hata asili nikaepukana na hii Hali?
Wakuu poleni na mihangaiko.samahani waungwana nimekua nikipata shida sana kutokana na hili neno post grafuate.hivi hii Ni ngazi gani ya elimu? Yani ina maana gani?
Naomba msaada waungwana hicho chuo kikuu kinapatikana dar mazingira yake yakoje,
je kina ushindani mzuri na vyuo vikuu vingine hapa Tanzania? Naomba msaada.
Wajumbe habari zenu.nimekua nikichungulia kwenye forum hii kwa siku kadhaa na nimepatwa na mtikisiko wa mawazo kutokana na neno kugegeda.hivi hili neno Lina maana gani? Maana Kuna muda nahisi ni Bata dume ambae anaitwa gegedu.huenda Ni typing error ya mwandishi Cha ajabu kila nikichungulia humu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.