The Ultimate Heir System
FREE FREE FREE!
MegaNovel Sep 9 2023
The Anderson family mansion looked different tonight. The sound of applause filled the room as a woman and a man took turns putting on the rings.
Davis, on the other hand, smiled as he entered the room. This was the first time in...
Nawasalimia nyote
Ngja niende kwenye mada moja kwa moja. Nimejaribu kuwaza kwa sauti kidogo. Hivi hata wazee wanapokuwa faragha na wezi wao wanakuwa na purukushani nyingi kama ilivyo kwetu vijana?
Nikiangalia kwa upande wetu vijana hata tukiwa vijiweni story zetu huwa ni kuelezea jinsi ya...
Habari zenu wana JF
Nataka kufungua duka la samaki hasa wale wanaotoka ziwa victoria but nina changamoto kadhaa. Kwanza sijawahi fika Mwanza kabla na pia sijui upatikanani wa samaki hao kwa gharama za jumla uko vipi.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu
Kibongo bongo nimekuwa muumini mzuri wa nyimbo za kufoka foka na shabiki mkubwa wa wasanii wanaorap,
HIP HOP imekua harakati yenye maneno yaliyo na maana iliyojificha inayokutaka utulize sana kichwa mpaka kung'amua tafsiri yake,
Kama kuna wenye utata twende sawa tupia mstari wa shairi...
Natumia karanga kama breakfast, lunch hadi dinner,
Natafuna ziwe mbichi, au kavu zote twende ingawa napendelea zaidi zilizokaangwa nashushia na maji,chai,juice au soda habari inakua imeisha
Msaada kwenye tuta
Mke wangu amebakiza wiki 2 tu kufiisha miezi tisa ya ujauzito wake but sikuya pili leo tumbo limemsumbua sana nimefikisha hospital wanasema njia inafunguka
Je, inawezekana akajifungua ikiwa uja uzito una umri huo??
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.