Wapi naweza kupata monitor ya TV?

Wapi naweza kupata monitor ya TV?

April Jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2019
Posts
244
Reaction score
1,233
Habari wakuu!
Msaada tafadhali!
Wapi naweza kupata monitor spare ya flatscreen inch 24 kwa hapa brand ya aborder model kama inanyoonekana kwenye picha
IMG_20190516_220520.jpeg
IMG_20190516_220255.jpeg
 
Hawa jamaa wana repair Center yao Pale juu ya Jengo la Simba Sports Msimbazi,wasiliana nao kwanza ,wakishindwa nijulishe kuna jamaa anazo generic ntakuunganisha nae
 
Hawa jamaa wana repair Center yao Pale juu ya Jengo la Simba Sports Msimbazi,wasiliana nao kwanza ,wakishindwa nijulishe kuna jamaa anazo generic ntakuunganisha nae
Ahsante kaka
 
Chipukizi unaweza nipa email adress yao maana nliyonayo ujumbe haufiki
Hawa jamaa wana repair Center yao Pale juu ya Jengo la Simba Sports Msimbazi,wasiliana nao kwanza ,wakishindwa nijulishe kuna jamaa anazo generic ntakuunganisha nae
 
Hata mi yangu imekufa display ni OUling wapi ntapa fundi mzuri mkuu?
 
Chipukizi unaweza nipa email adress yao maana nliyonayo ujumbe haufiki
mkuu wewe unaonekana ni mvivu sana.email ata ukijibiwa bado utatakiwa uipeleke hiyo TV kwenye repair center.Hizi Display na Circuit za TV yako na Brand nyingi za Kichina Kariakoo kuna maduka zaid ya 4 zipo nyingi tu.unaenda nayo unalipa wanakufungia unarudi nayo kwako.. Ni PM no yako nikupe fundi atakuja nyumbani kwako na atakubadilishia hiyo disply hapo hapo kwako. kama upo Dar
 
Back
Top Bottom