April Jr
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 244
- 1,220
Habari zenu wana JF
Nataka kufungua duka la samaki hasa wale wanaotoka ziwa victoria but nina changamoto kadhaa. Kwanza sijawahi fika Mwanza kabla na pia sijui upatikanani wa samaki hao kwa gharama za jumla uko vipi.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu
Nataka kufungua duka la samaki hasa wale wanaotoka ziwa victoria but nina changamoto kadhaa. Kwanza sijawahi fika Mwanza kabla na pia sijui upatikanani wa samaki hao kwa gharama za jumla uko vipi.
Tafadhali sana nahitaji msaada wenu