kwa hiyo uzi wangu unadhani nampinga mgunda au nataka awe treated kwa heshima kama yale mataahira ya kizungu yanyokimbiaga hovyohovyo na kusambaza majungu kwa makanjanja ya nje ya nchi?
Naam, ni uhuni juu ya uhuni, kudadeki, aisee weeh! Tukadanganywa kwamba kaenda Wakiso Giants ya Uganda na kwamba kwa sasa yeye na Yacouba hata kwenye picha za mazoezi wanafichwa fichwa!
"Za ndani kabisa, jamaa kumbe yupo. Hajaenda kwa mkopo wala nini, ilikuwa ni gia tu ya kutuzuga sisi...
mara ya kwanza walituma sana yule wa horoya wa zamani, yule wa team ya taifa ya ghana wa zamani baadaye walivyogundua shobo mdundo lipo kwa ngozi nyeupe wakaacha ndiyo maana siku hizi utasikia wooote waliiiooomba ni wa ulaya
maneeno meeengi, hizo taarifa za funika kombe mwanaharamu apite zinazotolewa mtu akidakwa juu kwa juu katoka kucheki mechi taifa ,kama wako serious wamtambulishe kwa heshima kama wanavyofanya kwa makocha wenye ngozi nyeupe
Mchakato umesitishwa THEN WHAT? bado wanamuangaliangalia kama anafaa...
Acha uongo kama ni hizo interviews na vi ONLINE tv vya wenye laptop moja na microphone moja na bando za 10,000 ... mara kibao anasema kwa sasa itambulike mgunda ni kocha mwenye mkataba taarifa rasmi itatolewa hakuna press release rasmi ya kusema mgunda ni kocha mkuu, ACHA UPOTOSHAJI
akiumia je ?akapata taizo la kifamilia? ndiyo maana nimeandika kiwango cha kupanda na kushuka cha zimbwe, winga aliyekuwa anamsaidia sana kukaba ni konde boy alikuwa anashuka chini kwa sasa okrah anajitahidi sana kumsaidia,kila mechi ni kama vile teams kubwa za afrika zina ma right wingers...
Naona yuko Kipenga Xtra, hivi huyu mzee si bado ni kama Technical Director na Kocha wa vijana hapo Utopoloni?
Ni mengi aliyoongea jana ni ukweli, lakini pia yanaweza kuwa na uharibifu kwa wachezaji wa Utopolo. Sasa mbona leo ni kama anaendelea na Media Tour yake?
Mabosi wake hapo Utopoloni...
yameisha hayo majungu? huoni unatukana watu wa ndani ya simba unaoddai walimpiga majungu? au wewe ukitoa maoni yako ndiyo sahihi wengine ni kinyume chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.