Sasa mkuu we unge muuliza una familia na ana watoto , angejibu ndio tu basi nawe unge mpiga kofi moja takatifu , hyo ni mpuuzi tu maana ana shindwa kuelewa kama hii ni secular state huwezi apply islamic law direct bali angemuomba tu afiche maji , babu wa mke wangu kaenda kuhiji mara kadhaa na...
Utazidi kuuchafua lakini uislamu wenyewe unajieleza , hutoweza na hii si mara ya kwanza kwa uislamu kuongolewa vizuri na wasio waislamu kwa kuona na kuuthibitisha ukweli
Hapo kabla nilijua mtu makini ktk uchambuzi wa masuala mbalimbali sasa ile kuingia habari zingine ( dini) alafu anachongea ni kama mlevi toka siku hyo nikajua hamna kitu kabisa , badala ya kuwa taikuni wa fasihi kumbe ni taikuni wa ushuzi
Shida ya baadhi ya upande wenu hamuna hoja zaidi ya matusi , eti kamdhalilisha mbona hyo Aaliyaa mpaka anakuwa msanii mkubwa hakuwahi kumshtaki au kulalamika sehemu?????, au mbona walivyo vamia hilo gheto alikuwa aki ziniwa hyo Aaliya hakutoa ushirikiano ?, eti wewe unajiita upo timamu...
Huo wivu tu sasa ulitakaje ?, niki endelea kuandika utasema nakutukana bure ila hicho kitoto kiache kipate neema ya utajiri , hii sio hoja kabisa, mbona R.kelly alikula bk ya AALIYAA, tena bado kitoto kidogo sn, na hyo aalliya hakubakwa that means
Mkuu nadhani huja nielewa kabisa , mimi sijasema kuwa hii ni kinga ya mimba big no, ila nimesema kwa huo umri ikiwa kila hatua za uchunguzi zimezingatiwa basi msichana apewe baraka za kuozwa , kuozwa au kuolewa si kununua na hii dhana wengi wasio waislamu wanashindwa kujua lengo la ndoa ...
Ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni, hv mkuu unawajua wanafunzi wa sikuhizi ?, samahani lakini hv ushawaona wanafunzi wa shule zetu hz za kata ?, acha kabisa mkuu kama watoto waliosalimika ni wachache mno, fanya reserch ya watoto wa kata hzo gari zao ni shida tupu , full mziki na bila...
Nakubali sisi Watanzania wengi huwa wavivu wa kufikiria hata jambo liwe dogo kiasi gani, na huo ni ujinga , hivi unasema asiolewe ili hali anafanya machafu na watu wazima wa kila rika?
Hivi kati ya penati na mpira wa kurushwa bora nini?, una sema asiolewe sasa akija kutiwa mimba ndio utaona...
Japo siafiki mambo ya kishirikina lakini mshana is right person , ila kwa hyo robert sijui hamna kitu kabisa , ana tabia ya ku vamia vamia vitu bila ya kujua kwa usahihi, tena huyu ni taikuni wa ushuzi
Cotradict sio yangu , cotradiction zipo ktk kitabu , ndio maana nikasema hyo MUSSA alikuwa dedicated kwa wana wa islael na syo wakristo , sasa mtu akija kuleta andiko la MUSSA kuhusu islael ilihal Mussa alikuwa dedicated kwa watu fulan , siwezi elewa
Umejitahidi lakini unapaswa urejee ktk mchakato wa lahaja na usanifishajwi wa lugha ya kiswahili na fikiri utapata kitu kipya na mtazamo mpya , japo sina elimu lakini nakupa na hili la mwisho , kila lugha la zima ikope ( iazime ) maneno kutoka lugha nyimgine na hii ni kwa lugha zote dunia ...
Unaona sasa ?, hiyo ndio shida yenu nyinyi wabishi sna na pia hamna hata ulewa , mleta mada kata ufafanuzi wa kina kwa nini zinaa ni dhambi ?, baada ya kuona ktk comment hakuna aliye muelewesha vzuri nikaona ngoja ni toe pindi bureeee kwa namna atakavyoelewa , sasa wewe from no where unakuja...
Asikudanganye mtu zinaa ni dhambi full stop , how ?, iangalie zinaa kwa ujumla utajua tu ubaya wake na kama hujajua Hebu fikiria mimi nakuja kwenu na ngonga mlango mama yako ana afungua mlango then na mzini kisha niki maliza na kuja kwako kuku zini kisha kesho ana kuja ( mshana) ana mzini...
Mkuu umeongea vizuri lakini usisahau kuwa uweziuwezi kuongolea uislamu bila ya kutaja uarabuni ( far & middle East) vivo hvo huwezi kutaja ukristo bila ya kutaja ulaya , kwa nini ?,huko ndiko madhehebu makubwa yalipotoka , huko ndiko waliko upigania ukristo, syo Asia , Africa wala latin , hao...
Sawa ila hilo jambo yapaswa ulielewe wewe siyo mimi, maana yake nini , sasa ni hv ukristo na uyahudi ni dini mbili tofauti ukiwa ISRAEL dini kubwa ni uyahudi ,kisha uje ukristo na uislamu,
Ila wengi watakwambia uyahudi ni ukristo hyo ni big NO , VItabu na sala za kiyahudi ni vya kipekee ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.