BAKWATA: Wasichana wa umri wa miaka 14 waendelee kuolewa

Shida ya baadhi ya upande wenu hamuna hoja zaidi ya matusi , eti kamdhalilisha mbona hyo Aaliyaa mpaka anakuwa msanii mkubwa hakuwahi kumshtaki au kulalamika sehemu?????, au mbona walivyo vamia hilo gheto alikuwa aki ziniwa hyo Aaliya hakutoa ushirikiano ?, eti wewe unajiita upo timamu kiakili , ok ni hv staki matusi na mtu isipokua na changia mada tu pia huna hoja yenye mashiko hata ukifungua kitabu chako cha dini ktk swala la hili auto faulu . Leave me na chukua tyme yako.
Skia ww muislamu mpumbavu, sijamzungumzia huyo aaliyaa, nawazungumzia watoto wadogo waliodhalilishwa kingono, watoto wadogo kama wale mnaowabaka madrasa.
 
Kweli Waislamu ni wapumbavu, kumbe mnajua kabisa ni ndoa isiyo ya kawaida lkn kwa kushupaza shingo zenu bado mnalazimisha ifungwe 😳
Upumbavu mwngn wa Uislamu ni kuruhusiwa kula kitimoto ukiwa na njaa ya kufa afu badae uombe msamaha wakati mshaambiwa ni haramu. Yn mnaruhusiwa kutenda dhambi baada ya kupata manufaa ya dhambi hiyo mnaruhusiwa kuomba toba.

Narudia tena, Waislamu wote nyie ni wapumbavu. Hakuna awezaye kutenganisha Uislamu na ugaidi, umalaya, kitimoto na upumbavu.
Usipende kutukana dini za watu kwani tayari inaonekana hata dini yako ya ukristo huijui laiti ungekumbuka majibu ya Yesu kuhusu kupigwa Kofi usingekurupuka. Kipi Bora kwa huyu msichana mwenye miaka chini ya 18 kuolewa au kuzaa nje ya ndoa, kuingia katika biashara ya ukahaba ili kutunza mtoto ambaye ametelekezewa au matokeo ya kubakwa na jitu kama wewe au KUSAGANA kama sehemu ya kendesha maisha yake.
 
Usipende kutukana dini za watu kwani tayari inaonekana hata dini yako ya ukristo huijui laiti ungekumbuka majibu ya Yesu kuhusu kupigwa Kofi usingekurupuka. Kipi Bora kwa huyu msichana mwenye miaka chini ya 18 kuolewa au kuzaa nje ya ndoa, kuingia katika biashara ya ukahaba ili kutunza mtoto ambaye ametelekezewa au matokeo ya kubakwa na jitu kama wewe au KUSAGANA kama sehemu ya kendesha maisha yake.
Kaka hyo mpenda matusi kazi yake ni hyo ila hana hoja ya msingi , huu ni mfano kuwa ktk jamii wengi wataki ukweli bibilia ina
 
Ninyi mnaojiita makristo ili hali matendo yenu hayana tofauti na wale wanaotema mbu na kumeza ngamia laiti leo ingeruhusiwa wake wanne, majanaume ya kikristo yangekuwa kituko kwa kukurupukia hata talaka ikiwekwa wazi kwenu leo mngewazidi waislamu.
Binti kama hayupo shule na anakoenda hakuna shida na kwa ridhaa ya mahakama kuolewa na aolewe
 
Ubakaji !
miaka 14 aje sasa?
Sheria za kidini tafadhali zihusishe dini husika isiwe sheria ya nchi.

Mambo mengine aibu tu.
 
Kwahiyo wanaruhusiwa kuwa na mahusiano wakiwa la saba? Maana ndo umri huo 14 anakuwa la saba hadi form one.

So akikutwa nyumbani kwa mzee anaetaka kumuoa huyo mzee hatofungwa?

So mtoto ni sahihi kuachishwa shule ili akaolewe?

Hivi ndugu zetu waislam kuna mambo mengine ya msingi huwa mnayawaza zaidi ya kujamiiana? Maana wake wanne mnao nyinyi, watoto miaka 14 waolewe na sheria inawaruhusu. Seriously?
 
Kwahiyo wanaruhusiwa kuwa na mahusiano wakiwa la saba? Maana ndo umri huo 14 anakuwa la saba hadi form one.

So akikutwa nyumbani kwa mzee anaetaka kumuoa huyo mzee hatofungwa?

So mtoto ni sahihi kuachishwa shule ili akaolewe?

Hivi ndugu zetu waislam kuna mambo mengine ya msingi huwa mnayawaza zaidi ya kujamiiana? Maana wake wanne mnao nyinyi, watoto miaka 14 waolewe na sheria inawaruhusu. Seriously?
Soma vizuri utaratibu wa kumuoa binti mwenye umri chini ya 18 halafu uandike tena
 
Kwanini umfikirie Binti yako upande wa matatizo tu pasipo kumuwazia mema, inamaana unamlea kihuni huni tu bila ya maadili mema?
Nashangaa! Inamaana Tz mabinti wote wa 14 years wameshatembea na wanaume?

Mbona mabinti wengi wa 14 huku kwetu bado wadogo na wanaruka ruka wakicheza huku na kule hawajitambui kabisa zaidi ya kuwa bado watoto.
 
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limependekeza kifungu cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinachoruhusu msichana wa umri wa miaka 14 kuolewa kwa amri ya mahakama kisiondolewe.

Akitoa maoni hayo Mwanasheria Mkuu wa BAKWATA, Hassan Fatihu alipowasilisha mapendekezo kwa Tume ya Kuangalia Jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai nchini amesema sheria ya ndoa ibaki vilevile kutokana na ukinzani uliopo kati ya sheria ndoa na sheria ya mtoto pamoja na imani za dini.

“Sisi Waislamu tunaamini mtoto wa kike akishavunja ungo anaruhusiwa kuolewa, nami naruhusiwa kuoa haijalishi nina miaka 10, 12 au 13,” ameeleza Fatihu.

Ameongeza kuwa sheria ya mtoto inaeleza kuwa mtu yeyote aliye chini ya miaka 18 ni mtoto, na kwamba sheria ya ndoa imeruhusu mtoto kuanzia umri wa miaka 14 kuolewa kwa ridhaa ya mahakama ambapo itaangalia vitu vingi ili kuruhusu ndoa hiyo ikiwa ni pamoja na afya ya mtoto, mila na tamaduni za jamii husika.

Mjumbe asiuawe

=======

BAKWATA imependekeza kutoifanyia marekebisho Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 inayoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na umri wa miaka 15 au miaka 14 kwa kibali cha wazazi.

Mtazamo huo unakinzana na maoni ya wanaharakati wa haki za watoto na wanawake ambao wamekuwa wakipinga utekelezaji wa sheria hiyo kuwa inakinzana na Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 inayomtambua mtoto hadi umri wa 18.

Julai 8, 2016 Mahakama Kuu ilitoa hukumu ikikubali kwamba vifungu hivi vya sheria ya ndoa vinapingana na Katiba kwa kuweka umri tofauti wa kuoa/kuolewa kati ya mtoto wa kike na wa kiume.

Hukumu hiyo ilitolewa kufuatia kesi iliyofunguliwa na Mkurugenzi wa Shirika la Msichana Initiative, Rebeca Gyumi aliyekuwa akipinga kifungu cha 13 na 17 vya sheria ya ndoa kinachoruhusu mtoto wa kike kuolewa akiwa na miaka 14 kwa kibali cha mahakama, na miaka 15 kwa ridhaa ya wazazi.

Kwa mujibu wa BAKWATA, mtoto mwenye umri wa miaka 11, 12 au 13 aliyeingia kwenye kipindi cha balehe aruhusiwe kuolewa kwa uhalali wa mahakama utakaozingatia vielelezo vya kimazingira. “Mtoto wa kike ana miaka 11, 12 hajaendelea na elimu, kwa nini asiolewe? Ukimuacha huyu ni matokeo ya kupata mimba mtaani.

“Simaanishi kila mtoto wa umri huo aruhusiwe kuolewa ila mahakama itajiridhisha afya yake, mazingira na mengineyo,” alisema mwanasheria wa baraza hilo, Hassan Fatiu.

Chanzo: Mwananchi
Ukimwamsha aliyelala utalala wewe

Islam tuwaache hivihivi waendelee kuoza vibinti vyao..

Sisi tuongeze bidii kuwalinda na kuwasomesha wanetu
 
Kitu kikifanyika kwenye hizo nchi lazima kiwe sahihi na kifanyike katika nchi zingine zote?

Ndoa za utotoni ni topic ya dunia na wengi wanaipinga, iweje ninyi mturudishe zama za mawe za kale na bakwata yenu .
Unajua maana ya kubalehe?
Unapo sikia mtu kabalehe basi huyo kaingia hatua ya utu uzima hayo masuala ya sijui mtu mzima ni kuanzia miaka 18 tumetunga wenyewe sisi binadamu kwa sababu zetu tunazo zijua sisi na siyo aliye tuumba.

Acheni unafiki mnakataa wasiolewe lakini manafanya nao ngono mitaani na kuwapa mimba.
 
BAKWATA wapo sawa kwani wanachozungumzia wao ni ndoa na sio uasherati na ndoa ya mazingira hayo ni kwa ridhaa ya mahakama.
Ni heri mabinti zetu waolewe kuliko kuzaa wakiwa nyumbani na kukosa uelekeo wa maisha.Ndoa ndio mpango mzima.Tusilete mihemuko katika jambo hili kwani nina hakika hakuna mahakama itakayoruhusu ndoa ya MSICHANA mwenye miaka chini ya 18 pasipo kujiridhisha katika vipengele vyote na hakuna mwanaume atakayefanya makosa katika hili kwani gharama yake ni miaka 30 au maisha jela
Kuna mtu alioa kibinti cha miaka 15 akaja kukamatwa miezi 6 mbele na kupewa kesi ya Ubakaji na Jamhurii sasa hapo ndo ulete hizo hekaya za Bakwata na ungese waoo hakika Utajutaaaaa... Na mimi nasema wachapwee mvuaaa za miaka hata 100 ni UBAKAJIII...!
 
Unajua maana ya kubalehe?
Unapo sikia mtu kabalehe basi huyo kaingia hatua ya utu uzima hayo masuala ya sijui mtu mzima ni kuanzia miaka 18 tumetunga wenyewe sisi binadamu kwa sababu zetu tunazo zijua sisi na siyo aliye tuumba.

Acheni unafiki mnakataa wasiolewe lakini manafanya nao ngono mitaani na kuwapa mimba.
Kwa hiyo Muumba wenu na bakwata alisema utu uzima ni miaka mingapi??? Yani mwanaume mzima umekaa hapa kugombania watoto wa miaka 14 waoleweee hivi mnajua kisichana cha miaka 14 kinafananaje Wabakaji wakubwa nyie???? Hao bakwata sheria ya wake wanne wameona haitoshi kuhalalisha Uzinzi na tamaa zao za mwili wanataka Kuleta sheria zao za kuhalalisha UBAKAJI WA WATOTO.. Kikundi cha kihuno hichi kidhibitiwee haraka hata kama Mama ni dini yaooo hawafai kuchekewaa Wabakajii hawa.
 
Watafungwaje wakati Serikali na dini zimekubali?

Mtaani kwangu kuna darasa la 6 mapepe vibaya mno

Serikali ipi kwa sheria zipi za nchi zinaruhusu mtoto miaka 14 aolewe?
Dini isiwe kigezo cha ku bypass rule of law.
 
Nawakumbusha tuu, huyu ni Mwislamu na yupo kwenye mfungo wa kubadilisha ratiba ya kula

Screenshot_20230325-072949.jpg
 
KWA kizazi hiki cha ngono watoto wa umri wa miaka 5 wanajua KILA kitu kupitia video za music. Wanajua mengi kabla ya mda wao

Bado hai justify kwann. Ndoa si kuangalia video my man . Hiyo taasis ni pana kuliko ujuavyo
 
Back
Top Bottom