Nimesikitika sana mgeni wangu kupigwa vibao Kariakoo

We acha nilikua na doz ya malalia nilipofikia maeneo ya msikit wa mtoro nikasema hapa kuna kivuli ngoja ninywe dawa zangu daah nilipigwa kofi kwenye utosi ikarushwa ngumi yenye dhamira ya kunitoa meno nikainama ilibid nitimue mbio nikaona swala hapa nimeingia chaka la simba
 
Kwani wanafunga Sasa zaidi ya kubadilisha mda wa kula, kwani wanatofauti Gani na Mimi ambaye napiga pass ndefu ya asubuhi saa 11 au 12 mpaka saa moja usiku au mbili, pass ndefu hii hata mchana Siri.
Za kuambiwa changanya na zako.
Ni kubadili masaa tu usiku muda wa kula, mchana usile.
 
Weekend nimetembelewa na familia rafiki yangu kutoka Madagascar 🇲🇬.

Hawa kwao ni visiwani, na pià kwao Uislam sio kiviiiiiiile. Basi leo walioniomba niwapeleke wakanunue zawadi, na miongoni mwa machaguo yangu bora ya zawadi zao ilikuwa ni Kitumbini maduka ya kanga, Vinyago Mwenge, Slipway na Morogoro Stores Oysterbay (mbaya sana Tanzania maduka ya zawadi ni machache sana, na zawadi ni zilezile)

Basi, baada ya kutoka Kitumbini tukaingia Kariakoo. Kariakoo sio genius kwake, hata huko kwao wanaijua Kariakoo, na alipenda afike tu na kupiga picha moja, mbili, tatu.

Baada ya kuingia Kariakoo, tulìkuwa tukitembelea maduka kadha wa kadha huku wageni wangu wakinunua na kupiga picha.

Ndipo tukaingia kwenye duka hili ambalo huenda ni duka la dini ya haki. Baada ya kuingia ndani, mgeni wangu wa kike alinaswa vibao viwili vikali, kisa tu ana maji mkononi na ajayanywa dukani

Jamani, nimeumia mimi. Jamaa anajitetea kwamba mteja anywe maji barabarani lakini sio dukani kwake.

Nikamuuliza hili tangazo, ilani, angalizo, katazo, onyo, karipio etc umelibandika wapi?

Akasema ni dini ya haki imeruhusu. Ndugu zanguni, nahisi kama kuna wachafuzi wa imani, wanachafua tu dini za haki na kuna maandiko ya alinakili na jayana mashiko.

Ikitokea umesononeshwa kama mimi, inukq jifute, chapa lapa fastaaaaaaaa
Sasa mkuu we unge muuliza una familia na ana watoto , angejibu ndio tu basi nawe unge mpiga kofi moja takatifu , hyo ni mpuuzi tu maana ana shindwa kuelewa kama hii ni secular state huwezi apply islamic law direct bali angemuomba tu afiche maji , babu wa mke wangu kaenda kuhiji mara kadhaa na ni mtu wa tablih lakini anauza duka la mangi na anawauzia wakristo soda na wanakunywa pale pale , sasa hyo hamna kitu, sasa huko kwake anapiga wanae ? , au , kama ingekuwa mimi aidha ni mpeleke polisi au ni mrudishie, alafu anajuaje kama hyo mtu ni mgonjwa, na mgonjwa karuhusiwa , hyo jamaa amekosea ki dogo ingekuwa zanzibar ila huku mtu ana kunywa pombe opposite na msikiti watu tuna waacha tu
 
Sasa mkuu we unge muuliza una familia na ana watoto , angejibu ndio tu basi nawe unge mpiga kofi moja takatifu , hyo ni mpuuzi tu maana ana shindwa kuelewa kama hii ni secular state huwezi apply islamic law direct bali angemuomba tu afiche maji , babu wa mke wangu kaenda kuhiji mara kadhaa na ni mtu wa tablih lakini anauza duka la mangi na anawauzia wakristo soda na wanakunywa pale pale , sasa hyo hamna kitu, sasa huko kwake anapiga wanae ? , au , kama ingekuwa mimi aidha ni mpeleke polisi au ni mrudishie, alafu anajuaje kama hyo mtu ni mgonjwa, na mgonjwa karuhusiwa , hyo jamaa amekosea ki dogo ingekuwa zanzibar ila huku mtu ana kunywa pombe opposite na msikiti watu tuna waacha tu
Njaa yake anataka iwe kero kwa ulimwengu mzima
 
Weekend nimetembelewa na familia rafiki yangu kutoka Madagascar 🇲🇬.

Hawa kwao ni visiwani, na pià kwao Uislam sio kiviiiiiiile. Basi leo walioniomba niwapeleke wakanunue zawadi, na miongoni mwa machaguo yangu bora ya zawadi zao ilikuwa ni Kitumbini maduka ya kanga, Vinyago Mwenge, Slipway na Morogoro Stores Oysterbay (mbaya sana Tanzania maduka ya zawadi ni machache sana, na zawadi ni zilezile)

Basi, baada ya kutoka Kitumbini tukaingia Kariakoo. Kariakoo sio genius kwake, hata huko kwao wanaijua Kariakoo, na alipenda afike tu na kupiga picha moja, mbili, tatu.

Baada ya kuingia Kariakoo, tulìkuwa tukitembelea maduka kadha wa kadha huku wageni wangu wakinunua na kupiga picha.

Ndipo tukaingia kwenye duka hili ambalo huenda ni duka la dini ya haki. Baada ya kuingia ndani, mgeni wangu wa kike alinaswa vibao viwili vikali, kisa tu ana maji mkononi na ajayanywa dukani

Jamani, nimeumia mimi. Jamaa anajitetea kwamba mteja anywe maji barabarani lakini sio dukani kwake.

Nikamuuliza hili tangazo, ilani, angalizo, katazo, onyo, karipio etc umelibandika wapi?

Akasema ni dini ya haki imeruhusu. Ndugu zanguni, nahisi kama kuna wachafuzi wa imani, wanachafua tu dini za haki na kuna maandiko ya alinakili na jayana mashiko.

Ikitokea umesononeshwa kama mimi, inukq jifute, chapa lapa fastaaaaaaaa
Wahuni wachache tu hao. Ungezirusha pumbavu zake kama akinywa yeye anapungukiwa au kuzidishiwa nn
 
Pole mkuu , ungejarb kwend msimbaz pale upate msaada wa kugawana posho na maafande
 
Weekend nimetembelewa na familia rafiki yangu kutoka Madagascar 🇲🇬.

Hawa kwao ni visiwani, na pià kwao Uislam sio kiviiiiiiile. Basi leo walioniomba niwapeleke wakanunue zawadi, na miongoni mwa machaguo yangu bora ya zawadi zao ilikuwa ni Kitumbini maduka ya kanga, Vinyago Mwenge, Slipway na Morogoro Stores Oysterbay (mbaya sana Tanzania maduka ya zawadi ni machache sana, na zawadi ni zilezile)

Basi, baada ya kutoka Kitumbini tukaingia Kariakoo. Kariakoo sio genius kwake, hata huko kwao wanaijua Kariakoo, na alipenda afike tu na kupiga picha moja, mbili, tatu.

Baada ya kuingia Kariakoo, tulìkuwa tukitembelea maduka kadha wa kadha huku wageni wangu wakinunua na kupiga picha.

Ndipo tukaingia kwenye duka hili ambalo huenda ni duka la dini ya haki. Baada ya kuingia ndani, mgeni wangu wa kike alinaswa vibao viwili vikali, kisa tu ana maji mkononi na ajayanywa dukani

Jamani, nimeumia mimi. Jamaa anajitetea kwamba mteja anywe maji barabarani lakini sio dukani kwake.

Nikamuuliza hili tangazo, ilani, angalizo, katazo, onyo, karipio etc umelibandika wapi?

Akasema ni dini ya haki imeruhusu. Ndugu zanguni, nahisi kama kuna wachafuzi wa imani, wanachafua tu dini za haki na kunaAnastahili ashtakiwe sio kuj akulalamika huku. Umeharibu sifa y anchi kwamba nchi hii inafuata Uislamu maandiko ya alinakili na jayana mashiko.

Ikitokea umesononeshwa kama mimi, inukq jifute, chapa lapa fastaaaaaaaa
Ungepeleka polisi, unatoa picha gani kwa nchi za nje kwa kosa hili kwamba sheria ziko mkononi kwa mtu, eti dini ya haki, haki gani yeye amefanya? Je nchi hii ni ya Kiislamu?
 
Watu kama hawa ndo wanaharibu uislamu na wasio na uelewa wanauona ni tatizo. Nimezungukwa na waislamu na wengi hawana mambo ya ajabu ajabu.

Huyu unakamata unamfungia ndani siku kadhaa bila chakula zaidi ya pua za nguruwe zilizopikwa vizuri kwenye sinia. Njaa ikimzidi akala unamwachia. Hana heshima, hapaswi kuheshimiwa.
 
Pole sana mkuu kwa huo mkasa. Hakuna sababu zozote inayomfanya mtu kumpiga mtu mwingine. Huyo ungempeleka polisi tu ashike adabu yake.

Kama kufunga inamshinda, aache tu.
 
Aisee mgeni waki analambwa vibao we unallolo.a hapa? Ningemtandika mangumi badae tukeshe pale msimbazi polisi haiko mbali
 
Back
Top Bottom