Wakuu Salam,
Moja kwa moja kwenye mada tajwa, naomba uzoefu wenu wa aina hii ya gari "urban cruiser"
Kuna ambayo ni manual yanatumia diesel na kuna Auto yanayotumia petrol [emoji618] japo zipo chache kwenye site za magari ya japan ( befoward, Sbt..etc) je ni gari ya kuaminika?
Nina fikiria...
Uchumi wa nchi umeshuka, katika kutafuta vyanzo vipya vya kodi nashauri Wabunge wawe wanakatwa kodi kwenye mishahara na posho zao wanazopata ( seat allowance)!
Wabunge ni watumishi kama watumishi wengine ni vyema kama Wazalendo namba 1 wakatwe kodi kubwa zaidi kwa maendeleo ya wananchi wao.
Wataalam msaada wa kuondoa rangi ya blue kwenye LG TV..Blue inazidi had picha inaonekana kwa shida.
Model 43LJ550V-TA
Software version 03.50.30
Serial no. 705EGFBL8203
RC Makonda achukua fomu Kigamboni
Mnyeti RC wa Mkoa wa Manyara kachukua fomu ya ubunge Misungwi.
Dc Katambi wa Dodoma kachukua Shinyanga Mjini
Asumpta Rc Pwani kachukua fomu Nkenge.
Kwa kauli ya rais wanaweza kosa vyote? Ama wengine ni untouchable.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.