nilikuwa naonaga wivu sana nikionaga watu waapiga miluzi kila nikijaribu siwezi
mpo disco zinapigwa ngoma Kali unasikia wahuni wanapiga miluzi Pye pyeeeeeee mpaka raha ila nikirajibugi siwezagi
ASA ivi naweza napiga miluzi balaa nimekuwa masta miluzi
Wananikoma ngoma nikipata vibe ni mwendo wa...
Usidanganywe na demu kama anakupenda kabla hamjaingia kwenye ule uwanja wa sita kwa sita a.k.a uwanja wa dhambi.
Demu kwa mara ya kwanza anakuwa amekutamani tu na sio kweli kama anakupenda ndio maana ni vigumu kukuvulia kufuli bila kumpa chochote kitu.
Ila ukishamtafuna kiufundi na kumkuna...
Wenye pesa wanakulaga tungi balaa lakini hawalewagi utakuta mtu anakunywa bia hata kumi anaishia kutingisha miguu tu uku stori za apa na pale zikiendelea sasa njoo kwa wale choka mbaya akipiga bia mbili tu kero kwa wengine.
Alafu wenye pesa wanarizikaga na bia wakipiga bia mbili uyo anaenda...
Cheza mnapochezaga ila tambueni waliomaliza form four 2012 na form six 2013 na wakafaulu hao ndo vipanga ,imagine 60% ya wanafunzi waliomaliza form four 2012 walipata Zero ,34% walipata div four ,6% tu ndo waliofaulu div one -div three huku one zikiwa 1658 pekee mademu waliopata one hawakuzidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.