Na Askofu Bagonza
1. Rushwa
Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi.
Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi?
2 ...
Duh
Mh Jaffo yaani kweli kabisa hujaona hata mwalimu mmoja nchi nzima kuwa balozi wa mazingira?
Walimu hawahawa ndio wanawasimamia wanafunzi kupanda miti wakati wa mvua na mingine inapandwa through out of the year wanamwangilia.
Mmegeuza walimu watu wa kusimamia uchaguzi tuu ipo siku kwa...
Leo nimeona nikuletee hii hapa baada ya kukuta mabishano mara kadhaa kuhusu mishahara ya walimu katoka nchi kadhaa za Afrika.Kuanzia ngazi ya Chini kabisa hadi ya juu,yaani certificate na hadi anayepata juu zaidi.Vyanzo vya taarifa ni Salaryexplorer, UNESCO, Payroll Specialist na tafiti...
Na.Vitalis Konga
Kwa nchi za kiafrika, Ujasusi wa Kidola Tz ndio mwamuzi wa siasa za Afrika. Hil linatazamwa tangu vuguvugu la uhuru wa Afrika mpaka kunako Karne ya 21. Kwa lugha laini ni kuwa TISS ndio idara yenye nguvu Afrika katika medani ya Ujasusi wa Kidola.
Kwa mujibu wa Takwamu za...
DK. BASHIRU: "UK ISHAKUWA KIONGOZI HUTAKIWI KUWA NA TAMAA"
"Mimi sigombei na siwezi kugombea, nimeshakuwa Katibu Mkuu nagombea cheo gani?,cheo gani cha maana kuliko kazi hii ya kusimamia haki ktk Chama,ukishakuaa kiongozi hutakiwi kuwa na tamaa ndio ujumbe Mwenyekiti ametuambia,sio...
Leo tarehe 19/06/2020, nikiwa imara kimwili, kiakili na kifikra nilipata wasaa maalumu wa kumdhamini mwombaji wa nafasi ya URAIS kupitia chama chetu #CCM Mh Dkt John Pombe Joseph Magufuli.
Najisikia furaha sana kuwa miongoni mwa mwanachama wachache wa #CCM tuliopata fursa hii adhimu kutokea kwa...
Na:Vitalis John Konga
(Mwana Vasamwenda)
Gulfstream G550 Jet hii ndio ndege inayotumiwa zaidi na Rais wa Tanzania Mh John Pombe Joseph Magufuli katika ziara mbali mbali ndani na nje ya nchi ingawa tunazo Dutch Fokker F-28 na Dutch Fokker F-50 ambazo anaweza kuzitumia pia. Ndege hii kwa majina...
Na:Vitalis John Konga
(Mwana Vasamwenda)
Gulfstream G550 Jet hii ndio ndege inayotumiwa zaidi na Rais wa JMT Mh John Pombe Joseph Magufuli katika ziara mbali mbali ndani na nje ya nchi ingawa tunazo Dutch Fokker F-28 na Dutch Fokker F-50 ambazo anaweza kuzitumia pia.Ndege hii kwa majina ya...
Waziri wa ulinzi wa Afrika Kusini Nosiviwe Mapisa-Nqakula amesema mashambulizi dhidi ya raia wa kigeni nchini humo yamepangwa na kutekelezwa na magenge ya wahalifu hivyo serikali haiwezi kuzuia mashambulizi hayo kwa sababu taifa hilo kwa sasa liko katika hali ya hasira ''
'' Ukweli ni kwamba...
1. Mahakama Kuu imebariki mbunge mteule wa Singida Mashariki (CCM), Miraji Mtaturu kuapishwa bungeni kesho Jumanne Septemba 3, 2019.
2. Ndege ya ATCL ya Air Tanzania iliyokuwa imeshikiliwa nchini Afrika Kusini imeachiliwa na Mahakama, ipo huru.
3. Jumatatu tarehe 02/09/20 Rais wa Jamhuri ya...
Mwamini Mungu kwa maisha yako. Amini mipango yake juu yako, maana yeye anajua zaidi.
Lolote litakalokutokea, muachie Mungu, maana yeye anajua zaidi. Matumaini yako yote weka kwa Mungu, hutofeli; endelea na safari yako, maana Mungu wako anajua anapokupeleka.
Kwa vyovyote vile endelea na...
Utekelezaji wa ilani ya CCM 2015-2020 Unakwenda vizuri sana,Heshima kwako Rais wa JMT na Mwenyekiti wa Chama.
Hata wagombea wengine wa vyama vya upinzani mjiandae kisaikolojia.
"Twende na Magufuli 2020"
IN MAGUFULI AND SHEIN WE TRUST
Hii baridi ya NJOMBE ni noumaa
Ndio maana vijana wa NJOMBE wakienda kusoma ULAYA hususani nchi za SCANDINAVIAN (Denmark, Sweden, Norway na Finland) wala hawapati shida wanakuwa wameshazoea hali ya hewa.
Vitalis Konga
Na.Vitalis Konga
Kwa Afrika, Ujasusi wa "Kidola", Tanzania ndio mwamuzi wa siasa za Afrika. Hil linatazamwa tangu vuguvugu la uhuru wa Afrika mpaka kunako Karne ya 21. Kwa lugha laini ni kuwa TISS ndio idara yenye nguvu Afrika katika medani ya Ujasusi wa Kidola.
Kwa mujibu wa Takwamu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.