Mishahara ya walimu kutoka nchi kadhaa za Afrika

Vitalis Konga

Senior Member
Sep 22, 2018
127
231
Leo nimeona nikuletee hii hapa baada ya kukuta mabishano mara kadhaa kuhusu mishahara ya walimu katoka nchi kadhaa za Afrika.Kuanzia ngazi ya Chini kabisa hadi ya juu,yaani certificate na hadi anayepata juu zaidi.Vyanzo vya taarifa ni Salaryexplorer, UNESCO, Payroll Specialist na tafiti mbalimbali.

1.KENYA

Hii inatajwa kuwa miongoni mwa nchi tano zinvizuri walimu wake Afrika,pia ni miongoni mwa nchi zinazotajwa kutoa elimu bora inayomsaidia raia hata nje ya shule baada ya kumaliza.Nchi hii inatajwa kutoa mshahara kwa mwalimu unaoanzia Tsh 1,609,222/= hadi 6,118,061/= in basic salary.

Mshahara wao uliongezeka baada ya kuifungulia kesi serikali kwa kudai kuongezewa mishahara baada ya kushindana na serikali yao.

2.MOROCCO

Hili ni moja ya taifa la Afrika linalotajwa kutoa mishahara mizuri kwa wafanyakazi wake hususani walimu ambapo kwa mujibu wa United Education Scientific and Cultural Organization mwalimu anapoanza kwa ngazi ya cheti hadi shahada kwa hela ya kitanzania ni TSH 2,562,976/= kwa anayeanza kazi kwa elimu ya cheti na mshahara wa juu zaidi kwa walimu hawa ni Tsh 5,323,304/= hii inaelezwa na Salaryexplorer.

Hata hivyo mwalimu anayefundisha English Morocco anakuwa na mshahara mkubwa kuliko yeyote yaani mshahara wao ni juu zaidi ya hapo kutokana na kuhitaji sana wataalamu wa kingereza.Wale waaofundisha private mshahara ni kati ya Tsh 3,116080/= na wa juu kabisa ni Tsh 5,193,467/= kwa mwezi.Hiyo ni basic

3.Ghana

Hii ni moja ya nchi ambazo zinatajwa kutoa mishahara mizuri kwa walimu wake ambapo Salaryexplorer wanasema walimu wao huanza na mshahara wa Tsh 1,032,893/= 3,927,395/=

4.Msumbiji

Mwalimu anayefundisha Msumbiji huanza na mshahara wa Tsh 1,203,580.86/=nambapo mshahara wa juu zaidi ni Tsh 2,575,217/=

5.South Africa

Mtu ambaye anafanyakazi ya uwalimu nchini Afrika ya kusini kwa mujibu wa Salaryexplorer anapokea mshaara usiopungua Tsh 4,586,790/= na mwalimu anayepokea kiasi cha juu zaidi ni 8,392,536/= kwa mwezi.

6 . Uganda

Uganda pia mshahara wao ni Tsh 1,745,335/=hadi 3,194,530/= kwa mwezi

("
"Teaching / Education Average Salaries in Uganda 2020 - The Complete Guide" Teaching / Education Average Salaries in Uganda 2020 - The Complete Guide

7.Sudan

Huku katika Mtandao wa *Salaryexplorer* mwalimu nchini kwao huanza na mshahara wa Tsh 783,093/= hadi 2,972,389/=

8.Namibia

Kwa mujibu wa utafiti wa Namibia in Education Science and Research inaeleza kwamba mwalimu huanza na Tsh 1,744,406/= hadi 3,401,287/=

9.Rwanda

Huku Rwanda ikielezwa katika Salaryexplorer kwamba mwalimu hulipwa kuanzia Tsh 1,331,918/= hadi 3,401,287/=

Secondary School Teacher Average Salary in Rwanda 2020 - The Complete Guide

10.Angola
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali mwalimu huanza na mshahara wa Tsh 1,168,634/= hadi 2,138,263/=

Kwa maswali zaidi usiwe mvivu wa kutafuta taarifa ingia Salary explorer,Unesco,payroll specialists

Imeandikwa na
Vitalis Konga
Mwana Vasamwenda

0717354277
0628308876
Email vitalisikonga83@gmail.com
 
Mkuu nyingi za nchi hizo ni nchi zilizoko. Kwenye uchumi wa kati na average ya kipato Cha mtu ni zaidi ya USD 3000.00.so usilinganishe na Tanzania ya magufuli ambayo bado kwa 60 good years ya Uhuru bado inahangaika na umeme na barabara huku kipato Cha watu wake kikiwa chini ya USD 1 a day lazima walimu wake walipwe pesa kiduchu na Kama hawataki basi wakawe Wana siasa
 
Ingefaa ungeeleza kwa kutofautisha Mwl mwenye Certificate anaanza na ngapi na kuishia ngapi, hivyo hivyo kwa Diploma na Degree
 
Leo nimeona nikuletee hii hapa baada ya kukuta mabishano mara kadhaa kuhusu mishahara ya walimu katoka nchi kadhaa za Afrika.Kuanzia ngazi ya Chini kabisa hadi ya juu,yaani certificate na hadi anayepata juu zaidi.Vyanzo vya taarifa ni Salaryexplorer, UNESCO, Payroll Specialist na tafiti mbalimbali.

1.KENYA

Hii inatajwa kuwa miongoni mwa nchi tano zinvizuri walimu wake Afrika,pia ni miongoni mwa nchi zinazotajwa kutoa elimu bora inayomsaidia raia hata nje ya shule baada ya kumaliza.Nchi hii inatajwa kutoa mshahara kwa mwalimu unaoanzia Tsh 1,609,222/= hadi 6,118,061/= in basic salary.

Mshahara wao uliongezeka baada ya kuifungulia kesi serikali kwa kudai kuongezewa mishahara baada ya kushindana na serikali yao.

2.MOROCCO

Hili ni moja ya taifa la Afrika linalotajwa kutoa mishahara mizuri kwa wafanyakazi wake hususani walimu ambapo kwa mujibu wa United Education Scientific and Cultural Organization mwalimu anapoanza kwa ngazi ya cheti hadi shahada kwa hela ya kitanzania ni TSH 2,562,976/= kwa anayeanza kazi kwa elimu ya cheti na mshahara wa juu zaidi kwa walimu hawa ni Tsh 5,323,304/= hii inaelezwa na Salaryexplorer.

Hata hivyo mwalimu anayefundisha English Morocco anakuwa na mshahara mkubwa kuliko yeyote yaani mshahara wao ni juu zaidi ya hapo kutokana na kuhitaji sana wataalamu wa kingereza.Wale waaofundisha private mshahara ni kati ya Tsh 3,116080/= na wa juu kabisa ni Tsh 5,193,467/= kwa mwezi.Hiyo ni basic

3.Ghana

Hii ni moja ya nchi ambazo zinatajwa kutoa mishahara mizuri kwa walimu wake ambapo Salaryexplorer wanasema walimu wao huanza na mshahara wa Tsh 1,032,893/= 3,927,395/=

4.Msumbiji

Mwalimu anayefundisha Msumbiji huanza na mshahara wa Tsh 1,203,580.86/=nambapo mshahara wa juu zaidi ni Tsh 2,575,217/=

5.South Africa

Mtu ambaye anafanyakazi ya uwalimu nchini Afrika ya kusini kwa mujibu wa Salaryexplorer anapokea mshaara usiopungua Tsh 4,586,790/= na mwalimu anayepokea kiasi cha juu zaidi ni 8,392,536/= kwa mwezi.

6 . Uganda

Uganda pia mshahara wao ni Tsh 1,745,335/=hadi 3,194,530/= kwa mwezi

("
"Teaching / Education Average Salaries in Uganda 2020 - The Complete Guide" Teaching / Education Average Salaries in Uganda 2020 - The Complete Guide

7.Sudan

Huku katika Mtandao wa *Salaryexplorer* mwalimu nchini kwao huanza na mshahara wa Tsh 783,093/= hadi 2,972,389/=

8.Namibia

Kwa mujibu wa utafiti wa Namibia in Education Science and Research inaeleza kwamba mwalimu huanza na Tsh 1,744,406/= hadi 3,401,287/=

9.Rwanda

Huku Rwanda ikielezwa katika Salaryexplorer kwamba mwalimu hulipwa kuanzia Tsh 1,331,918/= hadi 3,401,287/=

Secondary School Teacher Average Salary in Rwanda 2020 - The Complete Guide

10.Angola
Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali mwalimu huanza na mshahara wa Tsh 1,168,634/= hadi 2,138,263/=

Kwa maswali zaidi usiwe mvivu wa kutafuta taarifa ingia Salary explorer,Unesco,payroll specialists

Imeandikwa na
Vitalis Konga
Mwana Vasamwenda

0717354277
0628308876
Email vitalisikonga83@gmail.com
Nahisi data zako ni za mitandaoni
Kuna waalimu kadhaa wa Nchini Kenya wanaomba tuwapatie Fursa ya kufundisha huku Tanzania
Wewe ni mtafti; Piga simu uongee na Idara au wahoji baadhi ya waalimu wa Nchi hizo; usitumie data ya Source moja tuuuuu ambayo tayari inaonekana na FEKI
 
Mleta uzi umeamua kutulisha matango pori hivi toka lini walimu wa Uganda na Rwanda walilipwa 1000,000/-

Huko kwa mwalimu wa certificate halambi zaidi ya tsh 200000
 
Ingependeza kama watu wangefanya utafiti na wakaongea kwa data juu ya takwimu za mleta mada. Tofauti na hivyo ni kuandika kwa kujifurajisha tu na mleta mada anaendelea kubaki mtu sahihi sana katika uzi huu.
 
Back
Top Bottom