Habari Wana bodi leo nimesikitishwa Sana na vitendo vinavyoendelea vya hovyo hapa chuoni na vinafanywa na walimu wa sheria bila Dean of Faculty kukemea Wala kuzuia.
Watu tumepewa likizo na chuo mwalimu anatoa assignment tukiwa nyumban je anao uhakika gani kuwa kila mtu akiwa nyumban anapata...
Wakubwa heshima yenu napenda mwenye kuijua shule nzuri ya wasichana inayopatikana mikoa ya Iringa Mbeya Arusha na Kilimanjaro naomba anielekeze iwe ya michepuo yote.
Pia iwe Ina milikiwa na kanisa katoliki hasa Masista.
Msaada wenu wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari nimezoea kula mara na kila siku nilikuwa nikitongoza wanafunzi nachukua geto mapema tu ila sasa hivi nimepata kimbembe kweli kula msichana hasa Hawa ambao siyo wanafunzi nikiwatongoza wananiambia wana wapenzi
Nisaidieni maana nikishaambiwa hilo neno nakosa cha kuendelezea. Nifanye...
Wakuu habar poleni na majukumu na kazi napenda kuomba mwenye anajua namna wanavyo omba mikopo kwa wanafunzi wanaoendeleea na masomo vyuoni naomba anielekeze maana hapa hata sielewi nafanya nini na nini ili nimalize naanza kujaza upya ama nafanya vipi
Nisaidieni wakuu
Wakuu habari,
Ninae mdogo wangu kamaliza form 4 kafaulu kiasi, Serekali imemchagua akasomee ualimu Ila mi napenda aende A level michepuo ya PCB au CBG. Naomba mwenye anajua shule za private za bei ya wastani katika mikoa ya Mbeya, Iringa Mwanza, Arusha na Kilimanjaro msaada wenu wakuu
Katika hali ya kushangaza mgambo Hawa wamempiga mwanafunzi pasipo kujali swala la afya je wanayo mamlaka ya kutoa adhabu hizi hata kama mtu kakosea tujiulize Abdul Nondo saidia hili
TAIFA STARS YAPOKONYWA USHINDI DHIDI YA UGANDA NA KUKOSA NAFASI YA AFCON
CAIRO MISRI
Timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepokonywa ushindi dhidi ya Uganda katika mechi yao ya mwisho ya kufuzu Mataifa ya Afrika baada ya kugundulika hujuma katika mechi hiyo. Habari nyeti...
Habar wana Jf mimi huwa si mdau Wa kuandika humu ila kwa hili ngoja niseme Leo nikiwa katika pita pita zangu huku mkoani Iringa ghafla nakutana na Gari ya timu ya Yanga inaelekea maeneo ninayo ishi nikajiuliza Nini tatizo
Bahat nzuri nikaona walipofikia duuuu ama kwel njaa ni mbaya Yanga...
Kabla ya yote niwaombe mods wasiunganishe Uzi huu pia nieleze ukwel cjawahi kuandika bandiko lolote humu jf zaidi ya kusoma Riwaya kule entertainment pia habari za michezo
Niende kwenye mada juzi nimempata mdada mzuri tu nikamtongoza Bahat ikawa upande wangu akanikubalia bhas Jana usiku kaja...
```*VODA KAMA MMETUCHOKA WANA CHUO MTUAMBIE*
Habari ziwafikie popote mlipo........
Sisi ni wanachuo watoto wa maskini kutoka Tanzania ambao tulitokea kuupenda mtandao wa Vodacom na kuona ni mahali sahihi kwa kutokana na matumiz yetu mbali mbali ya simu hususani kimtandao ambayo hutusaidia...
Wakuu nilibahatika kuomba vyuo vitatu ila mungu kasaidia jina langu limekuja kwenye multiple nimepata Iringa university pamoja na SAUT mwanza Ila cha kushangaza mpaka Leo tarehe 6 cjapata confirmation code nikipiga cm TCU hawapokei vyuo husika wanasema niwasiliane na TCU msaada ndugu zangu hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.