Kama kweli upo hapo unaishusha hadhi ofisi ya Serikali kwa uchangiaji unaoutoa - unategemewa kuwa mjumbe wa kuelimisha namna ya kujadili hoja sasa wewe ndio kwanza umeng'ang'ania udini. Unatakiwa kuelewa kuwa unachokisema ni hatari na kama hujui ni hatari sana.
Maneno haya hayana mvuto kabisa kwenye nchi tunayoitaka. Kwa nini kila kitu unakigeuzia kwenye udini, ukabila, kwa nini usiongelee hoja bila kutaja udini tena, ' mkristo mwenzako' hiyo kitu ni ya nini. tumetoka kwenye matatizo hayo, mbona bado unayapenda. Hebu siasa iseme siasa na dini itasemwa...
Ndugu yangu anataka kuanzisha biashara ya Internet cafe pale Morogoro Mjini. Ingawa bado hajapaelewa sana juu ya utumiaji / uhitaji wa huduma hii pale.
Lakini vile vile, anafahamu TTCL ndiye pekee wanaoweza kumsaidia kumuuzia muda wa internet (hasa ile huduma yao ya NDUKI).
Tafadhali...
mimi pia napenda idea hii,
ila ninachosikitika hivi sasa hadi kwenye daladala unapanda unakuta rekodi za mihadhara kukashifu ukristu( ipo siku ilifikia watu ambao nategemea ni wakristu waliamua kufungua nyimbo za dini kwenye simu zao kufuatia kanda iliyowekwa kuwa inakashifu ukristu). Nimekuwa...
Mama yangu anazidiwa na kisukari hivi sasa licha ya kuendelea kupata matibabu katika hospitali ya amana, anapoteza uzito kwa kasi sana sana. Anayefahamu lolote tafadhali - nakwama.
Kuna habari kwamba kuna basi la Buffalo linalofanya safari zake kutoka Dar es salaam kupitia Lindi, Mtwara Mpaka Tunduru lilikamatwa mwaka jana (2011) Masasi likiwa na Meno ya Tembo. Baada ya kukamatwa inasemekana kesi ilifunguliwa pale Masasi (Mtwara) na baadae kuhamishiwa Mtwara.
Taarifa...
Sijawa na mengi sana ambayo nayajua kuhusiana na Zito. Lakini katika wale CHADEMA 100% zito si mmoja wao kwa sasa ninavyoona mimi. Hayo maneno kwenye bold hapo juu ndiyo hasa niliyoyafikiria kuhusu yeye kwa muda mrefu kidogo.
Nakumbuka kuna mgogoro wake na CHADEMA uliwahi kutokea hapo kabla, hii...
Inasikitisha sana. Lakini ni wakati wa sisi wananchi kuamka hata kwa maandamano kuwahoji polisi WAMEFIKISHIWA TAARIFA NA VIELELEZO JUU YA KAGODA mbona hayashughulikiwi. Hii inatosha kwanza kumpa support Mtanzania mwenzetu kwa kujitahidi kutaka kulinda mali ya mtanzania. Lakini pia ingempa kusita...
MABARA GANI WATU WAO WANAISHI KWA FURAHA DUNIANI
ULAYA ==INAONEKANA WANAISHI KWA RAHA KWA KUWA HAWAPIGANI SANA, WANAHESHIMU HAKI ZA BINADAM
AMERICA YA KASKAZINI==NAO WANAONEKANA KUWA WANA RAHA NA HAWANA MATATIZO
AFRICA == NI BARA LA WATU WALIOKATA TAMAA, WANAPIGANA SANA, HAWAPENDANI, HAWAHESHIMU...
Unajua sio suala la kujitakia, unakuta mmejaa sana kwenye basi hilo, mguu hauwezi kutembea kwenda mbele au nyuma, ulikogeukia ndio kuna mtu kama huyo, bahati mbaya zaidi ukute height yako na huyo zinalingana au kupishana kidogo kiasi kwamba ...eneo maalumu.... linafikiwa, gari haitulii...
Wimbo ni mzuri kwa sauti, instrumental...... nimetegemea 'hakunaga' amelenga kuufanya wimbo wake usikike hivyo ambavyo yeye amehisi unapendeza. Ni kama maneno mengine mengi ya yasiyo ya kiswahili fasaha yanavyotumika kwenye nyimbo hizi na sanaa nyingine kama vichekesho n.k. nafikiri tukitaka...
Hisa zimekuwa zinauzwa mara kwa mara, ila nimekuwa na hofu juu ya nini ninaweza kupata. Kidogo ninachofaham ni kwamba ninaweza kulinganisha bei niliyonunulia hisa moja na ya kuuzua katika muda nitaoona pengine ni mzuri na nikauza nikapata faida.... Ningependa niweke huko hela yangu ila sijaelewa...
Ninafikiria hivyo pia, kwanza waliyachukia yaliyowasilishwa na Lisu wakapanga kabisa- watu wangapi watakaozungumza na watakuwa na uelekeo gani, yawezekana na wabunge hao walikuwa tayari wana uelekeo huo au waliandaliwa. Lakini kinachoshangaza, wabunge wengi wa Zanzibar hii ilikuwa ajenda yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.