Vurugu za Mbagala ni zaidi ya mnachokifahamu - Oh Tanzania!

na sasa watakua wameshatuma picha kwa mfadhili wao kuonyesha mafanikio walofikia na kuchukua pesa ya kuendeleza kazi!!
Mimi nasema serikali ifanye kazi lakini pia viongozi wetu wa kiislam waamke na wakemee na kushirikiana kuwafikisha wahusika wote na wahamsishaji kwenye vyombo vya kisheria wakafunzwe adabu
 
najaribu angalia kwanini sheria hamzijui nakuta hii aya:

'a'isha (allah be pleased with her) reported that salim, the freed slave of abu hadhaifa, lived with him and his family in their house. She (i. E. The daughter of suhail came to allah's apostle (may peace be upon him) and said: Salim has attained (puberty) as men attain, and he understands what they understand, and he enters our house freely, i, however, perceive that something (rankles) in the heart of abu hudhaifa, whereupon allah's apostle (may peace be upon him) said to her: Suckle him and you would become unlawful for him, and (the rankling) which abu hudhaifa feels in his heart will disappear. she returned and said: So i suckled him, and what (was there) in the heart of abu hudhaifa disappeared.
sahih muslim8:3425

nagundua kuwa sheria zenu zinatosha wachanganya sana.sijui waislam wangapi hawajavunja hii sheria wanaponyonya maziwa ya wake zao?

Nahitaji kukupa ufafanuzi, ila kwanza kabisa hujui ulicho kiandika ni nini. Umedandia tu pikipiki kwa mbele. Hiyo sio aya. Labda tu, tuanzie hapo. Usitafute makubwa wakati madogo huyajui.
 
ulichokijibu ndicho kinachoonyesha kilichokujaza moyoni mwako(chuki,jazba,hasira na visasi) huku ukiongea vitu usivyovijua.uharibifu,vurugu na wizi mlioufanya ni sawa kwa mujibu wa hiyo dini yako ya amani.ni dini gani ambayo ukizidi kubobea unakuwa mganga,muaguzi na mfuga majini? Wakristo huwa hawapendi vurugu kwa sababu mungu wao yu hai,wa kweli na ni mkuu hujitetea mwenyewe,hatetewi na mwanadamu,yeye mkono wake ni mkono wenye uweza,una nguvu,mkono wake wa kuume umetukuka(zaburi 89:13),he will stretch it out his hand to you.ukitaka kujua hilo just do something against,hakuna mkristo yeyote wa kweli atakayejisumbua kuhangaika na wewe,because our battle is not about the fresh(vita vyetu si vya kimwili),pia the battle is not ours but the lords,he(jehovah)himself will deal with u personally,yeye mwenyewe ndiye atateta na wewe,na siyo wakristo..makanisani hakuna muda wa kupoteza kuhubiri dini,watu wala uchochezi bali injili ya kweli ya yesu kristo,na hapo ndipo utofauti ulipo.

Hivi hamna hoja za kujadili, manajadili avatar yangu. My god. Do i have to explain this?. Hivi hawa ambao avatar zao ni za marais, ina maana wao ni marais?. This is so low. Please somebody explain to these people, that we put avatars, to conceal our true identities and to amuse others. So we don't actually mean, we are, what our avatars look like. My god, this is like explain to an adult how to pee.

Anyway, i hope u got my message.
 
Hawa vibaragashee dawa yao ni kuwachapa siku1 na kanzu zao zile na sijui watakimbiaje hawa mafukara na maskini wa fikra,
mtu umekimbia shule na kwenda madrasa alafu unataka usawa?
Shame on uzao wa Ismail uliokataliwa na Mungu.
 
KAMWE HAUTAKUJA KUSIKIA KIJANA WA KIISLAMU KUA AMEKOJELEA BIBLIA AU KUMTUSI YESU.

MIMI NIMESOMA MADRASA, TULICHOFUNDISHWA NIKUA UKIMTUKANA YESU, UMETOKA KATIKA UISLAMU. NA UKITUKANA VITABU VITABU VITAKATIFU, ZABURI, TAURATI, INJILI NA QUR-AN, UMETOKA KATIKA UISLAMU VILEVILE.

LAZIMA UELEWE, MUNGU WA ADAMU(A.S),NUHU(A.S), DAUDI(A.S), SULEIMAN(A.S),IBRAHIMU (A.S), MUSSA(A.S), AYOUB(A.S), ISSA (YESU)(A.S) N.K. NDIO MUNGU WA MTUME MUHAMAD (S.A.W) NA WAISLAMU. HIVYO WAISLAMU WANAWAHESHIMU MANABII WOTE HAO. NA WOTE HAO, NI WAJUMBE NA MITUME WA MWENYEZI MUNGU. NA HAKUNA HATA MMOJA KATI YA HAO KUA YEYE NI MUNGU.

MUNGU NI MMOJA NA WALA SIO WATATU. MUNGU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA. WALA HANA MSHIRIKA KATIKA MILKI YAKE.

Hayo ndio mafundisho ya Uislamu.


Ndugu yangu nimesoma maoni yako na ninajaribu kukuelewa lakini labda unisaidie kukuelewa zaidi kwa kunijibu maswali yangu haya...
1. Je kitabu kile kitakatifu QURAN, kilikojolewa na hayo makanisa na magari yaliyochomwa pamoja na mali zilizoharibiwa???

2. Uhusiano uko vipi kati ya kitendo kile (kukojolea Quran) na makanisa yaliyochomwa/mali zilizoharibiwa???

3. Hivi mali na makanisa yale yamekosa nini hata yakaadhibiwa kiasi kile kwa kosa la mtu mwingine??? (hata kama angekuwa mtu mzima kafanya vile)


Labda maswali zaidi hapa ni kuwa... Je ikiwa mwanao/mzazi wako/ndugu yako kafanya kosa mahali pengine au kamkosea mtu mwingine halafu aliekosewa aje kukupiga wewe ama hata kuvunja nyumba yako, je sisi wengine/majirani zako tukimuunga mkono ni sawa?

Lakini kwanini tunamchagulia Mwenyezi Mungu aina za adhabu anazopasa kuwapa waliomkosea yeye mwenyewe?? Mi naamini kitabu kile ni kitakatifu na kwamba yaliyomo ndani yake ni ya kwake mwenyewe Mungu. Sasa kama kimeharibiwa kitabu chake kwanini sisi binadamu tunakuwa wepesi kutaka na kutoa adhabu kwa wakosaji ilihali hatukukosewa sisi????

Hivi adhabu iliyotolewa na watu wale kwa kuharibu mali na kuchoma moto, wanafikiri ndio sahihi kwa kosa lile?

Kwakweli najiuliza maswali mengi sana na majibu sipati...

Nisaidie mkuu kujibu haya labda ntaelewa sababu ya Waislamu wale kuchukua uamuzi ule na kufanya walichofanya...
 
Najua lazima ya kuume katika moyo wako lini muislam kachoma biblia au kukojolea lakini wakristo mmekuwa wenye kuchokonoa waislam na sasa tumechoka kampuni ya viatu ya PUMA imeandika jina la Allah chini ya soli na viatu vinaingia chooni huo si uchokozi nasema wazi msipoacha huu ushenzi wenu tutauwana wenyewe kwa wenyewe

Jomba mbona we unaingia na mdomo wako chooni ilihali unatumia huohuo kumtaja Allah???

Acha kuleta tafsiri zako zisizo na kichwa wala miguu, kwani nani kakwambia chooni ni mahali palipo na laana au pabaya??? we mbona unaingia na kutatua matatizo yako huko???

Tumia akili na si ma****
 
ndugu yangu nimesoma maoni yako na ninajaribu kukuelewa lakini labda unisaidie kukuelewa zaidi kwa kunijibu maswali yangu haya...
1. Je kitabu kile kitakatifu quran, kilikojolewa na hayo makanisa na magari yaliyochomwa pamoja na mali zilizoharibiwa???

2. Uhusiano uko vipi kati ya kitendo kile (kukojolea quran) na makanisa yaliyochomwa/mali zilizoharibiwa???

3. Hivi mali na makanisa yale yamekosa nini hata yakaadhibiwa kiasi kile kwa kosa la mtu mwingine??? (hata kama angekuwa mtu mzima kafanya vile)


labda maswali zaidi hapa ni kuwa... Je ikiwa mwanao/mzazi wako/ndugu yako kafanya kosa mahali pengine au kamkosea mtu mwingine halafu aliekosewa aje kukupiga wewe ama hata kuvunja nyumba yako, je sisi wengine/majirani zako tukimuunga mkono ni sawa?

Lakini kwanini tunamchagulia mwenyezi mungu aina za adhabu anazopasa kuwapa waliomkosea yeye mwenyewe?? Mi naamini kitabu kile ni kitakatifu na kwamba yaliyomo ndani yake ni ya kwake mwenyewe mungu. Sasa kama kimeharibiwa kitabu chake kwanini sisi binadamu tunakuwa wepesi kutaka na kutoa adhabu kwa wakosaji ilihali hatukukosewa sisi????

Hivi adhabu iliyotolewa na watu wale kwa kuharibu mali na kuchoma moto, wanafikiri ndio sahihi kwa kosa lile?

Kwakweli najiuliza maswali mengi sana na majibu sipati...

Nisaidie mkuu kujibu haya labda ntaelewa sababu ya waislamu wale kuchukua uamuzi ule na kufanya walichofanya...

usiangalie ulopo angukia, angalia ulipo jikwaa.
 
sina uhakika watukio hilo, waislamu kamwe hawaruhusiwi kufanya hivyo.
Nani labda amekuambia kuwa wakristu wanafundishwa kukashifu dini yenu kama huyo mtoto aliyekojolea quran? Huyo mtoto amekuwa provoked na mwenzie katika kupimana imani kama nyie mnavyojitetea mlikuwa provoked na huyo mtoto mpaka mkachoma makanisa (kwahiyo kwenye kuchoma moto kanisa na biblia nani aliyeruhusu???). All in all we are all wrong u don't need to justify an issue and overlook it. Kuhusu hilo tukio la kidongo chekundu kamwe hutaweza kulikumbuka sababu christian don't keep grudges, kama ingekuwa moto kwa moto (kama imani yenu) na huo msikiti wa kidongo chekundu ukachomwa na probably mkalipiza mashambulizi bila baseline argument tusengefikia hapa uliposahau au kutosikia vizuri tukio hilo ila umesikia la mbagala na kufikia hapa unapoweza kutoa maoni.Think out loud, may be try to be neutral first and weigh the issue.
 
JINSI ULIVYO ANZA TU MAKALA YAKO, NI USHAHIDI KUA WEWE NI WAKALA WA SHETANI. Unataka kupandikiza hisia kua kuna watu wamebakwa na kunajisiwa. Kwa taarifa yako that is ANTI-ISLAMIC. WE MUSLIMS NEVER DO SUCH THINGS. LAKINI NI KAWAIDA YENU KUWACHOKOZA WAISILAMU HALAFU NA

KUANZA KULIA LIA. MNAJAZWA CHUKI MAKANISANI KWENU MPAKA MNA WAHARIBU NA WATOTO WENU.

HEBU NITAJIE, NI KIJANA GANI AU MUISLAMU GANI, ULIWAHI KUMSIKIA AKI MKASHIFU YESU AU KUCHANA KITABU CHA BIBLIA.

WAISLAMU WANAJADILI KWA HOJA NA SIO KASHFA AU MATUSI AU UCHOKOZI.

HAKUNA MWIZI ANAEPIGANA WAKATI AKIFUKUZWA KWA SABABU DHAMIRA INA MSUTA. NDIO MAANA MNAPO TUCHOKOZA, MNATAHAYARI NA KULIA LIA TU.

HATA WAKIRSTO WENYE NIA NZURI, WAMEUNGANA NA SISI KULAANI KITENDO KILE.

BADALA YA KUHUBIRI DINI KATIKA MAKANISA YENU MNAHUBIRI CHUKI NA IBADA ZA MASHETANI. SIKU HIZI WACHUNGAJI WOTE WAMEKUA WAGANGA.

WAISLAMU HAWANA CHUKI NA WAKIRSTO AU WASIO KUA NA DINI WASIO WABUGUDHI WAISLAMU.


ISLAM IS A RELIGION OF PEACE. BUT IT DEFENDS ITSELF WHEN IT IS ATTACKED. WE MUSLIMS, NEVER TURN THE OTHER CHICK. BE WARNED.
[/QUOTE

NAKUPA POLE , KUMBE NA WEWE ULISHIRIKI KUCHOMA MAKANISA PALE MBAGALA. UNA DALILI KAMA ULIHUDHURIA DARASANI LAKINI KUMBE HUKUELIMIKA. MTAKALIA KUZURULA KILA BAADA YA SWALA YA IJUMAA KISA MNAIPENDA DINI KULIKO HATA WAISLAMU WENZENU WANAOUAWA KULE MISRI, LIBYA,SYRIA, PAKISTAN N.K.
HEBU , FIKIRIA,MTOTO KAKOJOLEA QURAAN KISHA MTU MZIMA AKACHOMA MAKANISA KADHAA. IWAPO KICHWA CHAKO NI MAKINI RUDIA KUSOMA MAANDISHI YALIYOKOLEZWA MARA SABA, UTAPATA UFAHAMU MNZURI. LALA SALAMA.
 
We jamaa sijui ukoje,kwanza ulichoandika tu kinatia hasira na inadhihirisha kwamba wewe ni mdini,mchonganishi,na tabia nyingine za kipumbavu kama hzo. Tafakari ulichokiandka.

Umempa kazi kubwa ya kutafakali, uwezo huo hana kutokana na mfumo wa dini yao unaotoa kipaumbele kwa elimu ya dini kuliko ya dunia. Tumeshuhudia vijana wengi wa kiislamu wamekuwa wanashinda madrasa badala ya kushinda madarasani kupata elimu itakayowasaidia katika maisha yao.

Matokeo ya kutokuwa na elimu hii ni mabaya kwani vijana baada ya kufikisha umri wa kujitegemea ndio wanakuja kutambua kuwa elimu ya dunia ilikuwa ni muhimu kwao baada ya kuona maisha magumu na hawana pa kukimbilia wanaamua kufanya uhalifu.

Bila ya kukubali elimu ya dunia kwanza maisha yenu bado yataendelea kuwa na matatizo na kuona kuwa ni watu wa kuonewa kila kukicha. Kumbuka umepewa AKILI, MAARIFA NA NGUVU hivyo basi vitumie vyote hivi katika kurahisha maisha yenu badala ya kuamka na kushinda misikitini.
 
jinsi ulivyo anza tu makala yako, ni ushahidi kua wewe ni wakala wa shetani. unataka kupandikiza hisia kua kuna watu wamebakwa na kunajisiwa. Kwa taarifa yako that is anti-islamic. we muslims never do such things. lakini ni kawaida yenu kuwachokoza waisilamu halafu na kuanza kulia lia. Mnajazwa chuki makanisani kwenu mpaka mna waharibu na watoto wenu.

Hebu nitajie, ni kijana gani au muislamu gani, uliwahi kumsikia aki mkashifu yesu au kuchana kitabu cha biblia.

Waislamu wanajadili kwa hoja na sio kashfa au matusi au uchokozi.

Hakuna mwizi anaepigana wakati akifukuzwa kwa sababu dhamira ina msuta. Ndio maana mnapo tuchokoza, mnatahayari na kulia lia tu.

Hata wakirsto wenye nia nzuri, wameungana na sisi kulaani kitendo kile.

Badala ya kuhubiri dini katika makanisa yenu mnahubiri chuki na ibada za mashetani. siku hizi wachungaji wote wamekua waganga.

Waislamu hawana chuki na wakirsto au wasio kua na dini wasio wabugudhi waislamu.


islam is a religion of peace. But it defends itself when it is attacked. We muslims, never turn the other chick. be warned.

non sense
 
Najua lazima ya kuume katika moyo wako lini muislam kachoma biblia au kukojolea lakini wakristo mmekuwa wenye kuchokonoa waislam na sasa tumechoka kampuni ya viatu ya PUMA imeandika jina la Allah chini ya soli na viatu vinaingia chooni huo si uchokozi nasema wazi msipoacha huu ushenzi wenu tutauwana wenyewe kwa wenyewe

Mkuu, sasa puma zinatengenezwa kanisani?
 
YESU wetu hapiganiwi anajipigania mwenyewe. Ukiona unaanza kumpigania Mungu wako inabidi ujiulize yeye anaweza nini
 
????????
Yaani wewe ni :A S-devil4: :shetani:kabisa, tena ni :llama:kasoro mkia.
Unaona namna watu wanavyotumia hekima katika mjadala huuaza kwa malengo ya kijamii, wewe unaleta itikadi na mitazamo yako finyu toka katika kichwa kisichoielewa hata dini ile kinachojaribu kuitetea. ninyi ndiyo wale mawakala wachache munaouharibu uislamu kwa maslahi yenu binafsi

Wala sitaumiza tena kichwa kutaka kujua ni nani aliyeandika waraka huu:
View attachment 68307View attachment 68307


Pensi che si pio droga me con il tuo livello?
You keep hanging around while I keep my headup.
 
nani labda amekuambia kuwa wakristu wanafundishwa kukashifu dini yenu kama huyo mtoto aliyekojolea quran? Huyo mtoto amekuwa provoked na mwenzie katika kupimana imani kama nyie mnavyojitetea mlikuwa provoked na huyo mtoto mpaka mkachoma makanisa (kwahiyo kwenye kuchoma moto kanisa na biblia nani aliyeruhusu???). All in all we are all wrong u don't need to justify an issue and overlook it. Kuhusu hilo tukio la kidongo chekundu kamwe hutaweza kulikumbuka sababu christian don't keep grudges, kama ingekuwa moto kwa moto (kama imani yenu) na huo msikiti wa kidongo chekundu ukachomwa na probably mkalipiza mashambulizi bila baseline argument tusengefikia hapa uliposahau au kutosikia vizuri tukio hilo ila umesikia la mbagala na kufikia hapa unapoweza kutoa maoni.think out loud, may be try to be neutral first and weigh the issue.

Aamini Jirani yangu nakwambia, uadui unaonekana wazi katika tabia za vijana wa kikristo. Watu wazima wao hujizuia kwa sababu wengine akili za kuambiwa huchanganya na zao.

Wengi wetu tunawaona hivyo. Wakiwa wanashida na wewe wanaficha uadui wao. Lakini wakiwa wanajiona hawakuhitaji hawana urafiki tena. Ni wakiristo wachache ambao hawaja athirika na chuki zinazo hubiriwa makanisani.

Tembeleeni msikitini hasa siku za ijumaa, tena tunahubiri kwa maspika. Jamani hatuhubiri chuki kwa wasiokua waislamu.

Bali kama ikibidi tuonangelea wale tu wanao uhujumu uislamu, wawe wakirsto au waislamu(ambao wanaitwa wanafiki).

Sio wakirsto wote wana akili za kushikiwa. Wengine wanatumia busara zao.

Kwa hiyo, waislamu hauna uadui na ukiristo au upagani. Bali hatuna huruma na anae tuhujumu.
 
Back
Top Bottom