Ni bora kuwa na Imani kuliko kujazwa Imani. Najua hata Wahubili wa Kikristu wapo wanaohubili tofauti, lakini si mahubili ya fujo na kutishiana. Ni bora kujua ulikotoka na kuhisia unakoelekea kuliko kukosa vyote. Kwa hili nafikili tujifanye wajinga na kuwatuhumu vijana waliofanya fujo ingawaje twajua chanzo chake nini, sasa tuweke sala zetu kwa vijana waliovamia Kanisa na kufanya uhalibifu kwani uhalisia si Waislamu wote waliofanya fujo hizo na tukimwelekeze Mungu wetu dua hii naamini atatenda maajabu na tusiwaombee dua ya kifo kama wafanyavyo Waislamu wao penye tatizo hupenda kukimbilia dua yao wanayo iamini ALBADRIH (samahani kama nimekosea herufi zake). Bali tusali kwa Upendo mkubwa Mungu atawezesha zaidi. Hivi kweli imani zao hizo zilitoka wapi, aliye zileta ni kama aliyetengeneza pesa, hili ni pepo moja baya sana.
Je ni nani atakayekaa katika kiti cha ufalme wa Mungu?. Bora Imani yenye Upendo kuliko Imani yenye Adhabu
Je ni nani atakayekaa katika kiti cha ufalme wa Mungu?. Bora Imani yenye Upendo kuliko Imani yenye Adhabu