Sina taaluma yoyote ya usalama lakini zile fremu mimi zilinifikirisha saana. Labda wanajeshi kwa uzoefu na kutembea nchi nyingine wanaona sio shida, kama raia kuzunguka sehemu nyeti sio tatizo kwanini wasizunguke na ikulu
Haijalishi mkeo kakuzidi umri, kipato au elimu usikubali mwanamke akuendeshe, usikubali dharau kutoka kwa mtu ambae unamvua nguo huo ni ubwege
Mwanaume uwe na principle zako kama hawezi kuzifuata Bora uachane nae aende kwa hao wanaume anaoona ni bora kuliko wewe.
Lakini kumnyenyekea mwanamke...
Mungu muumba ailaze roho yake mahali pema na apewe uongozi wa malaika kama alivyoomba.
Yes Mimi ni miongoni mwa wa Tanzania walioumizwa saana na kushambuliwa kwa Tundu Lissu na kumshutumu Magufuli kua alihusika na unyama ule.
Nilimchukia John kwa jinsi alivyoendesha siasa dhidi ya wapinzani...
Kati ya wanasiasa wa upinzani ninaowaheshimu mbowe ni namba moja ni mtu muungwana kwa kiasi chake
Lakini kwenye hoja ya bandari kusema Samia na Mbarawa wanauza bandari kisa ni wanzazibar hapa kakosea namwomba achutame mtani wangu
Awamu ya tatu ya serikali ya nchi hii ndio inasemekana imeuza...
Sijawahi kua muumini wa John Magufuli hata siku moja na siwezi kua, lakini leo kwenye sherehe za kuadhimisha siku ya dawa za kulevya nimeona kwanini magufuli alitumia matatizo ya watu kujijenga kisiasa,
Mosi kuna dada alikua anasimulia kisa cha namna alivyoingia kwenye uvutaji wa dawa za...
Aloooooo! Asikwambie mtu kufiwa na wazazi au mzazi ukiwa bado mtoto kibongo bongo ni janga vita ya kagera inasubiri acheni nyie
Mimi alifariki mzee nikiwa na miaka 10 apo ni first born, kwa kijijin kwenye ukoo mzee ndie aliekua na nafuu ya maisha kuliko wengine wote kwa miaka ile ya 90s
Baada...
Aloooooo! Asikwambie mtu kufiwa na wazazi au mzazi ukiwa bado mtoto kibongo bongo ni janga vita ya kagera inasubiri acheni nyie
Mimi alifariki mzee nikiwa na miaka 10 apo ni first born, kwa kijijin kwenye ukoo mzee ndie aliekua na nafuu ya maisha kuliko wengine wote kwa miaka ile ya 90s
Baada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.