Mimi naona shida ipo kwa kina mama au Mashangazi kwa sababu
1. Nivigumu kijana kumtongoza mwanamke ambaye amemzidi umli bila ya uyo mwanamke kuwasha gree light
2. Changamoto za ndoa asilimia kubwa ya Mashangazi ndoa zao zinasumbua ivyo wanatafuta amani ya mioyo yao kupitia vijana
3. Video...
https://www.jamiiforums.com/threads/kijana-wa-kiume-sipendi-mpira-wala-masumbwi-je-kuna-shida.2192009/
Kumbe ndio maana uwezi kubet maana pesa yote unapeleka kwenye kichwa cha chini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa leo nimeelewa kwamba dhumuni la kukataa ndoa ni kulinda uchumi kwa maana unaogopa ukimuoa Moja kwa Moja siku mkiachana mtagawana vitu kisha uchumi wako utayumba
Naamini mwanamke ananza then mafanikio maana wengi hufanikiwa wakiwa na miaka 35+ so unakuta mtu tayali yupo kwenye mahusiano au alikuwa kwenye mahusiano
Wahenga wanasema Kila mwanaume mwenye mafanikio ujue nyuma yake Kuna mwanamke.
Shida ni kujua je ni mwanamke gani yupo nyuma ya ayo mafanikio anyway pole sana Mkuu uwende umefanyika daraja ivyo kazi yako imeisha tafuta mwingine ambaye atakuwa daraja kwako
Mkuu icho nikipindi cha mpito ukiweza kuvuka utakuwa mtu poa sana
Ushauri wangu jitaidi kuwa busy au kufanya mazoezi ili mwili wako uchoke pia jitaidi kujichanganya na watu maana kukaa pekeyako muda mwingi unajikuta unawaza vitu vya tofauti
Mwisho kabisa lkn sio lazima inabidi utafute Mpenzi...
Ndio mashiko yapo maana tafiti yoyote ile inahitaji uchambuzi na uchakataji wa taharifa ambao ni bora lkn unavyo soma short course kama hii jitaidi kuwa na connection na watu wanao fanya tafiti kama vile NGOs, Student
Mimi niliwai kusomea short course ya data analysis kwa kutumia Genstat wakati...
Ah ah apo kwenye kulinda unakuwa na bati au dumi akiwa anakuja kwenye shamba unapiga maana Tembo apendi kelele lkn inabidi muwe kuanzia watu watutu na kuendelea maana ukiwa mmoja unakuwa mfu mtalajiwa
Dawa ya Tembo ni kulinda tuu maana ukiweka mizinga ya nyuki inaweza isiwe suluhisho maana Tembo anaweza kuja usiku kula mazao pia nyuki usiku anakuwa sio active kama mchana
Kilimo kina hitaji nidhamu, ujuzi na uvumilivu ivyo ingekuwa vyema kama ungepata Shamba boy kutoka Mang'ola, chekeleni, Dumila na Nk maana hao wanaweza kukaa shambani ata miezi sita ajaenda mjini lkn hawa wengine ukitoka tuu nae anaenda center kuangalia mpira au kufanya anasa au tafuta Mzee wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.