Hoja kubwa ya mzee baba nadhani ilikuwa ni juhudi, maarifa na ubunifu katika kazi bila kusahau ushirikiano.
Mambo hayo matatu ama manne, yakizingatiwa pahala pa kazi (shamba) - ushindi (kutoboa) ni hakika.
Ni kweli, kuna baadhi ya vitu walimu hufundishwa bila kuvijua.
Unakuta mwalimu wa Baiolojia anafundisha malaria huenezwa katika jamii na mbu aina ya anofelesi. Sasa mwekee mbu wa aina tofauti afu mtake amtofautishe huyo anofelesi kutoka katika hilo kundi utaujua uhalisia wa mfumo wa elimu yetu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.