Voda wao wananunua huduma kutoka kwa hizi kampuni kama ifuatavyo.
Minara yote ya simu waliuza kwa kampuni moja inaitwa Helios tower na kuanza kukodisha huduma kwenye ile minara. Lengo la kufanya hivi ilikua ni kupunguza gharama za uendeshaj kwan hawa Helios tower kwenye ule mnara wa mawasiliano...
Baada ya vita yabpili ya dunia kuliinuka tena kwa vita ndani ya China kati ya wanotaka serikali ya kijamaa wakiongozwa na Mao Tsetung na Zhou Enlai dhidi ya wasiotaka serikali ya kijamaa ambai hawa walikua wanaongozwa na Chiang Kai Shek. Kumbuka kwamba hawa ugomvi wao ulianza hata kabla ya vita...
Wanasiasa wamenunuliwa na matajiri wa makampuni ya silaha (Millitary Industrial Complex). Kinachofanyika ni wao kuunga mkono kupitisha bajeti hii mwisho wa siku sehemu kubwa ya hizo hela zitarud kwao coz ndo watakaotengeneza hizo silaha za kupeleka uko Ukraine. Also pia itawapa U.S sababu za...
[emoji1787][emoji1787][emoji2] Asee umenikumbusha mbali sana, kaka yangu aliponunua gari yake ya kwanza (Noah) aisee ilikua ni burudan. Ile Noah ilikua inapendwa kuliko mke[emoji1787][emoji1787]. Ile Noah masaa yote vioo havifunguliwi, haijawah kua na mafuta chini ya robo tank. Kuhusu kuiosha...
Niliwahi kusoma mahal hichi kilimo, kinachukua zaidi ya mwaka mmoja kuanzia kupanda, kuvuna, kuanika na kuhifadhi ndani ili ile chemical ya Vanilin ambayo hasa ndo inayolipa hili zao thaman iweze kujitengeneza.
Hii vanilin inatumika sana kwenye kutengeneza manukato, kwan hata ukiwa umeihifadhi...
Apo kwenye agricultural drone za kupiga picha unaweza kutumia satellite ambazo zitakua zinapiga picha shamba lako kila siku. Picha hizi zitasaidia sana kuonyesha ni maeneo yapi ya shamba yana struggle na yapi yananenda vzuri. Taarifa za satellite zinaweza kuwa intergrated moja kwa moja kwenye...
Huyu Zitto amejikita zaidi kutueleza faida na matokeo ya mradi lakini hajagusia hata kidogo mkataba na makubaliano ambayo yangekuwepo endapo tungeendelea na huu mradi. Hili kujibu hoja za serikali kuhusu mkataba mbovu angeleta mkataba halisi ambao ungewekwa mezani na kuuchambua vipengele vyake...
Asee bro mimm pia nilikua Msange 823 KJ OP Miaka 50 ya JKT, nilikua C Coy na akina Afande Simkoko[emoji1787][emoji1787]. Memories nyingi sana kwa kweli. Nakumbuka ile siku tulipewa root ndefu kishenzi ya kukimbia, root inaitwa Mbola Matola[emoji1787][emoji1787]. Iyo siku nilirudi mwili mzima...
Kwa ajili ya hizi strict lockdown ndo maana majimbo mengi yanayiongozwa na democrats kama California uchumi umeanguka vibaya mno maisha yamekua magumu hali inayosababisha watu kuyakimbia hayo majimbo.
Sent from my SM-G928C using JamiiForums mobile app
Kwa Boeing 787-8 a.k.a dreamliner General Electric walikuja na engine yao GEnx-1B lakini Engine ya Rolce Royce ndio ilionekana kua bora zaid kwenye Model hii kutokana na specification za mtengenezaj (Boeing) alizokua anahitaji,
Kuhusu uwepo wa engine za Rolce Royce ni kwamba hawa jamaa biashara yao kubwa ni kutengeneza Engine za ndege.
Kuna wakati walijiingiza kwenye biashara ya kutengeneza magari ya kifahari lakini baadae waliuza hii division ya magari kwa kampuni ya BMW.
Kuwepo kwa Engine ya Rolce Royce kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.