Baada ya kumkataa mtoto wake aliemzaa na Raffaella.. siku ya birthday ya mtoto huyo wa kike anaeitwa PIA amekabidhiwa zawadi kwa baba mwingine atakaendeleza malezi pamoja na mama wamtoto.
Kwa hiyo ulikuwa unakwenda shule, ukirudi mnakulana sivyo!? Kama ni kweli wewe sichana mwenzangu ni katili wa kutupwa!kumbuka unaimuita mshamba ndye aliyekutoa ujinga. Na baada ya kujitambua unakubali vyake vya nini? Nenda mwanakwenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.