Mayanga hana chochote anatafuta cv tu kutokupoteza mechi imependeza zaidi kama angewaita angalau vijana sita ama Saba kutoka Serengeti boys then wapate uzoefu tutengeneze timu ya bdae ila kwa mwendo huu milele tutakuwa hapa hapa mfano hai waangalie cape Verde juzi tu hapa tulikuwa tunawaonea...
Jamani nawashauri msikilize nyimbo ya daz baba inaitwa rastaman jamaa kuongea sana humo!kifupi humo kuna kila kitu yaani hizi dini zinaletwa kwetu Africa na wazungu na waarabu tutachinjana tutauwana lakini dini ni moja tu imani ndani ya moyo wako kutenda yale yaliyo mema na kuacha yaliyo mabaya over
Jamaa wana raha sana wale pombe wanakunywa bure bangi wanavuta bure tena bila hofu yoyote maana ziko za kutosha kwny vituo vya polisi wanazichota tu baada ya hapo wanatukamata wanatumbambikia kesi zikiwemo za bangi wanachukua hela zetu then wanaenda kulewa da jamaa hii dunia ni ya Kwao!
Kwa Mungu mwenda wazimu na timamu na takataka na masikini na tajiri yeye hana kubagua wote watu wake!siku ya mwisho hautaulizwa wewe ulikuwa nani duniani ama ulikuwa na cheo gani bali utahukumiwa kutokana na matendo yako, kile kibaba ulichowapimia wenzako ndicho nawe utapimiwa hicho hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.