Niwashukuru tu airtel kwa muda wote wa 3month niliovumilia kuwa nanyi am going back kwa wezi wangu voda majuzi walizima internet usiku na walitutaarifu.
Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta zaidi kilichotokea nimeamishwa kwa 3G, H+ hadi E?? yani hata kutuma picha whatsapp ni shidaa nikawa...
Ukweli utabaki kuwa ukweli, wanaume akiachwa na mwanamke anaumia sana na adhari nikubwa comparing to wanawake bad thing ni wachache sana wanakubaligi kuwa hawako ok wengi wanaajitapaga am ok, am ok, I got new chick better than her bla bla...money is nothing kwenye hili nyie mnaojidai I got cash...
So far nimekuwa nikivutiwa sana na Hilder Ringo wa fastjest kwa sasa mwenye list, picha na CV zao baadhi ya wanawake marubani kutoka Tanzania.
Share hapa please
najiuliza tatizo ni hatuna wakimbiaji wazuri au tatizo ni nini jamani it's real boaring kila marathoni kubwa unayoisikia duniani ni wakenya, Ethiopia. Eritrea
mwakyembe angalia na upande huu wa wakimbiza upepo soccer wana sponsers wengi na wakubwa serikali kwanini isiwekeze uku? ikibidi...
It's real boaring kwa SUMATRA wa Dar yani daladali zinajipangia nauli tu ovyo ovyo na wako kimya mfano mdogo ni;
Makumbusho Gongolamboto.
Gongolamboto Mawasiliano
Gongolamboto Kariakoo
Gongolamboto Tandika
Hizi route nimeziexperience wanajipangia nauli tupeni mwelekezo nauli ni shs ngapi au...
Husika na kichwa cha habari jana ilikuwa siku ya pili nasumbuliwa gas tumboni nashindwa kulala usiku nikikaa kitandani haliumi nikilala tu linaanza.
Nilishawahi kusumbuliwa na ili tatizo but halikuwa ivi niliambiwa ilisababishwa na ratiba mbovu za kula na vyakula nikawa natembea na magnesium...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.