Niwashukuru tu airtel kwa muda wote wa 3month niliovumilia kuwa nanyi am going back kwa wezi wangu voda majuzi walizima internet usiku na walitutaarifu.
Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta zaidi kilichotokea nimeamishwa kwa 3G, H+ hadi E?? yani hata kutuma picha whatsapp ni shidaa nikawa narestat simu ovyo Leo best yangu kaniambia airtel wamebadilisha bundle nikajiuliza kwaiyo lengo Lao ilikuwa ni kupunguza speed na kupunguza bundle are they serious kweli c bora wapunguze bundle internet speed iwe nzuri.
Sasa hao wanafunzi ndo mnawajazia bundle kubwa then speed low tunaowaweka mjini mnatufanyia ujinga wa low speed asanteni na line nishaitupa mkifufua speed nitarudi
Wanaupdate/upgrade network zao ziwe fasta zaidi kilichotokea nimeamishwa kwa 3G, H+ hadi E?? yani hata kutuma picha whatsapp ni shidaa nikawa narestat simu ovyo Leo best yangu kaniambia airtel wamebadilisha bundle nikajiuliza kwaiyo lengo Lao ilikuwa ni kupunguza speed na kupunguza bundle are they serious kweli c bora wapunguze bundle internet speed iwe nzuri.
Sasa hao wanafunzi ndo mnawajazia bundle kubwa then speed low tunaowaweka mjini mnatufanyia ujinga wa low speed asanteni na line nishaitupa mkifufua speed nitarudi