D.I.T sio Ndomba tu... Ni wafanyakazi karibia wote wana hizo sifa.
Uliza mwana D.I.T yoyote aliepata shida ambayo inatakiwa kutatuliwa na uongozi.
Inawafanyakazi wa hovyo sijawahi ona sehemu yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya movie kulikua na katuni ya lion king, mwaka jana ndo wakatengeneza movie yake.
Ni kama jungle book, ilikua katuni baadae wakatengeneza movie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bf Tulinagwe,Mi sina cha kukushauri, ila huyo mtoto wa nje uliemleta ndani mkeo akirudi mtafutie pa kwenda maana shughuli atakayoipata sio ya nchi hii.
Mi naona ka uliona hiko kichanga kitaharibu privacy yako na mkeo tu sioni kingine cha msingi hapo, mwambieni tu shemeji atafute yaya wa kukaa na...
Salam!
Nimeanza kujifunza kutumia Microsoft Excel kupitia online courses, nia yangu ni kufikia expert level.
Changamoto niliyonayo ni kukosa kazi za kuapply vitu nnavyojifunza na kutambua changamoto zinazoendana na kufanya kazi kwenye program hii.
Kama una kazi inayotakiwa kufanywa kwenye...
Nna tatizo la kuvimba miguu hasa joint, goti na foot na hua napata maumivu makali sana mpaka nashindwa kutembea.
Mara ya mwisho kwenda hospitali nilifanyiwa vipimo vya damu na nliambiwa Uric Acid imezidi mwilini ndo maana napata hilo tatizo.
Wakanishauri niache kula nyama ya ng'ombe na mbuzi na...
Future - My Savages
Lil Uzi Vert - Xo Tour Life
Future - Codeine Crazy
Future - Hardly
Meek Mill - 1942 Flows
Meek Mill ft Tory Lanez- Litty
Meek Mill- Blue Notes
Meek Mill - Championships
Meek Mill - Young Black America
Dr.Dre - Talking To My Diary
Rich Hommie Quan - ''Promise I'll Never Stop...
Hahaha,.. Sema kati ya ujinga ambao nashindwaga kuuelewa ni huu wa kutumiana nudes,..hua mnatumiana za nini.
Tushaijua hio app uliyotutangazia,tutaitafuta,asante kwa tangazo.
Mi nilikuaga siangalii animations,ila coco na moana zilinifanya nianze kuangalia animations.,. Marvel studios na Universal mi ndo nawaelewa zaidi kwa movie.
Apply tena upya afu badirrisha kozi.,. Nimeona tangazo la TCU la kuruhusu waliodisco kuapply upya leo. Au ongea na lecturers wako kwanza afu ndo uapeal.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.