Piga chini huyo malaya huwezi kufika nae mbali,we unamsomesha na kumlipia nyumba ndo mana anajiweka karibu nawe,akipata wa kumnunulia prado na kumpa nyumba atakupiga chini,bro take care kusoma hujui hata picture hutambui.
Izo ni janja za ccm katika uchaguzi kwa intake mbili zilizopita eti science na education asilimia mia mbona wameshindwa kumaintain? walitumia mbinu iyo kuwarubuni wananchi katika uchaguzi wa 2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.