Kwa bahati nzuri hayo ndio MAHINDI yaliyo mengi kwa mwaka huu kwani yale yenye punje Nene kulikuwa na uhaba wa mbegu kwa msimu huu wa kilimo, hivyo wakulima wakalazimika kupanda mbegu hizo za punje ndogo.
Ndiyo mkuu hizo ndio gharama halisi za mzigo kwa sasa Hadi Dodoma, na kuhusu kukauka ondoa shaka huku nilipo MAHINDI yanaanza kukauka mwezi wa nne mwishoni mvua za masika zinapokoma, hivyo MAHINDI yamekauka mwezi wa Tano na sita wote shambani muda huu ndio wanavuma.
Kuhusu uhakika wa mzigo na...
Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane.
Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30.
Bei kwa sasa ni shilingi 600@kg, hapa inajumuisha Bei ya MAHINDI, gharama za kupeki pamoja na ushuru.
MAHINDI yanapatikana Mbinga mkoa wa Ruvuma.
Mawasiliano, 0758719493
Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane.
Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30.
Bei pia ni kulingana na bei ya soko Kwa wakati husika.
Unaishi Toto jijini mitaani, inahitaji kiburudisho vuta sweet menthol ni yako!!
Iwe mchana au usiku upite jangwani au porini safari ni safari ...safari lager.
Habari ndugu zangu, naomba kwa yeyote mwenye kujua chimbo/sehemu panapouzwa vifaa/spare za pikipiki za mchina Kama SAN LG, HAOUJUE NA SINORAY kwa bei ya jumla na bei rafiki tafadhari naomba kuelekezwa.
Pole, hili swala ni kweli lipo kwa baadhi ya walimu wasiowaaminifu Kama ulivyosema ila haya pia yanachangiwa na baadhi ya wazazi kwani baadhi hawataki kupitia njia rasmi zilizowekwa na shule husika, kwa mfano. Shule inataka pesa na mawasiliano yote vipitie kwa mwl wa malezi ila mwanafunzi hataki...
Mkuu unawazo zuri sana Ila Kuna ubinafsi ndani yake. Ninayasema haya Kama mkulima pia, hoja ya kuzuia mazao kutoka nje ni ya ukandamizaji kwa wakukima tabu tunazopata na bei za pembejeo mbona hamuisemi serikali iweke luzuku kwenye mbolea? Bei ya mbolea mwaka huu haikamatiki mbona mpo kimya?
Mzee Mohamed picha hazionekani kuna shida kwangu ama ni tatizo la wote? Unatufundisha mengi, nikisoma mada zako hata kabla sijahakiki mwandishi ni nani content na uandishi najua tu ni wewe.
Mkuu kwani ni mara yako ya kwanza kupanda daraja? Kama ndiyo basi subiri utaona nyongeza ya mshahara na baada ya hapo utadai malimbikizo ya nyongeza ya mshahara. Tuwe na moyo wa kushukuru tulikotoka ni giza mama ameleta mwanga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.