Yote ni kweli lakini wewe linakuhusu vipi mkuu,, akipata shida kwa maisha yake ya kuigiza anakuja kwako?? Anyway ishi tu maisha yako ukiangalia sana ya watu utachelewa kufanya yako. Nkukumbushe tu kila mtu ana maisha yake na kamwe hamuwezi kufanana na usipende umia kwa vitu vidogo hivyo...
Me kwa vyovyote vile sijaona maana ya kunegotiate na majambazi mpaka hapo na prior declaration zenu mlishafeli. Me siwezi kunegotiate na Mwizi, kunegotiate na Mwizi ni sawa na kumpa second chance.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatokea mkoa gani mkuu, sio kanda ya ziwa kweli hiyo maana kuna maeneo mengine hiyo kitu haipo kabisa, hizo pesa ni Za kunywea bia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.