Wapendwa habari,
Mimi ni mwanachama mwenzenu humu jf,
Nina mtu mzima mmoja ndugu na mimi anasumbuliwa sana miaka miwili sasa na vidonda kiasi cha kufika shingoni,nafuu yake ni kula kwa wingi na kula bamia. Je, mnanisaodiaje Ana Bima kubwa apate msada
Asanteni sana
Mwenye kufahamu combinations...
Jamani mnisaide,
Je, kuna sababu yoyote inayofanya umwache mwanamke ambaye hataki ndoa, hatimaye kurudishiwa mahali iliyolipwa?
Na utaratibu wa kurudishwa upo, kama upo upi, zipitie njia zipi au ni NON REFUNDABLE?
Habar!
Ni Muster cylinder ya breck ya 1)NOAH old model 4wheel 2)Model number SR50 3) Engine number 3S0059590. 4)Engine capacity 1990
Naitaka kujua original na bei zake
748001009
Jama habarini
My watsap voice note zina voice kama vikatuni au makolokocho hivi.
Naomba kuelekezwa Namna ya kuset njia Zote ili iludi kama mtu anavoongeakawaida.
Ufaulu wa D mbili Na C moja masomo ya social form 4 anaweza enda chuo ? Maana mimi ninajua D nne ndio zatakiwa lkn mwl nyerere wamekataa.
Msaada apate chuo jamani.
Habarini, Nimekuwa na changamoto hii, Naomba kujua sheria na vifungu ikiwezekana picha zinazozungumzia suala la style na aina gani ya mitindo inayotakiwa kazini.
Naomba kuwasilisha na kufahamishwa.
Jaman habrini,
Hebu niulize, Gari yangu mwenzangu aligonga ukuta, Akapeleka garage moja classic yenye ubiana na watu wa bima.
Meneja akamsahur garama ya kutengeneza ni kubwa abt 1.5mil so atumie bima,
Ishu inakuja watu wa bima Assesment wanachelewa sana naogopa gar ikawa kimeo.
Nifanyeje...
Habari,
Naomba kujua nasikia gesi kama mafut katika gari ni Bora zaid kuliko petrol/ diesel(mafuta).
Je, kuna uzuri wa hii kitu haina madhara?
Kiuchumi na kiusalama?
Msaad wadau.
Niliwah leta hii mada mm nina marafiki wengi Na kila anaetaka kuendesha gar langu anaeendesha kwa kadri alivoelekezwa.
Je uendeshaji wa gar Miguu miwili ni nini atahar au faida tofauti na mguu mmoja katika zile pedal mbili za automatic yaan less na brake.
Msaad nielewe tena vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.