edger jairos
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 335
- 71
Wapendwa habari,
Mimi ni mwanachama mwenzenu humu jf,
Nina mtu mzima mmoja ndugu na mimi anasumbuliwa sana miaka miwili sasa na vidonda kiasi cha kufika shingoni,nafuu yake ni kula kwa wingi na kula bamia. Je, mnanisaodiaje Ana Bima kubwa apate msada
Asanteni sana
Mwenye kufahamu combinations au mchanganyiko wa dawa kadhaa za hospitalini pia anaweza nisaidia...
Wako katika ujenzi wa taifa Dar es Salaam.
Mimi ni mwanachama mwenzenu humu jf,
Nina mtu mzima mmoja ndugu na mimi anasumbuliwa sana miaka miwili sasa na vidonda kiasi cha kufika shingoni,nafuu yake ni kula kwa wingi na kula bamia. Je, mnanisaodiaje Ana Bima kubwa apate msada
Asanteni sana
Mwenye kufahamu combinations au mchanganyiko wa dawa kadhaa za hospitalini pia anaweza nisaidia...
Wako katika ujenzi wa taifa Dar es Salaam.