In demonology, Raum is a Great Earl of Hell, ruling thirty legions of demons. He is depicted as a crow which adopts human form at the request of the conjurer.
Raum, Reym (Rey) or Raim is a great earle, he is seene as a crowe, but when he putteth on humane shape, at the commandement of the exorcist, he stealeth woonderfullie out of the kings house, and carrieth it whether he is assigned, he destroieth cities, and hath great despite unto dignities, he knoweth things present, past, and to come, and reconcileth freends and foes, he was of the order of thrones, and governeth thirtie legions.
Habari ya mchana wajumbe. Ninahitaji gari ya raum ile ambayo kwa hapa nchini tumeipachika jina la new model. Bajeti iliyopo ni 5.5 lakini inaweza kupanda kidogo sana.
Kama unalo tafadhali naomba tuwasiliane kwa 0755965775 calls/WhatsApp nije nikague nilipie.
Shukrani
Majuzi nilipata Pancha kwenye barabara ya lami yenye mashimo tairi ikachanika. Tairi ilikuwa tubeless.
Kwa kuwa Nilikuwa kwenye mji mdogo sikupata tairi tubeless hivyo nikaweka yenye tube. Baada ya hapo usukani hautulii. Kabla ya hapo kwenye barabara iliyonyooka ningeweza kuachia usukani na...
PDF pichani inaeleza kwa ufupi uzuri na ubaya wa aina za mifumo tajwa ya uendeshaji lengo likiwa kukuongoza kufanya uchaguzi sahihi wa aina ya gari unayofikiria kuagiza kulingana na matumizi yako. Pitia ujifunze zaidi
Habari ya usiku wakuu.
Nimekuja tena kijana wenu kwani naamini JF ni uwanja wa suluhisho.
🔥Ninahitaji TOYOTA RAUM NEW MODEL iwe na engine ya 1490cc.
🔥Gari iwe na namba kuanzia DW, DX, DY, na kuendelea.
🔥 Iwe katika hali safi kabisa isiyo na tatizo lolote
🔥ISIWE rangi nyeupe.
🔥Iwe na nyaraka...
Habari wataalam, polen sana kwa kuumiza vichwa kuakikisha mnatoa msaada kwa matatizo ambayo yanatukumba madereva, mungu atakulipeni.
mi nna shida moja, gari yangu ni raum, mwanzo ilikua ukifunga mlango wa kuchoto kuna loki inajiingiza ambayo ni tofauti na ile ya kawaida katika kitasa, lakini...
Gari liko katika hali nzuri, lina AC, Radio, tyres ni mpya,
Model = Raum
Engine type = GF-EXZ10 (HAIJAGUSWA KIVYOVYOTE)
Gari haina dalali, mimi ndio mmiliki wa kwanza
Gari lilinunuliwa moja kwa moja kutoka JAPAN
Engine Capacity 1490
Mwaka wa kutengeneza 2002
Bei ni Tshs 6,000,000/=
Ni forehead, upande wa kulia.
Used nje ya nchi, nilinunua kuweka kwenye gari lakini mambo yamenibana nahitaji pesa sasa.
Nilinunua 150,000/= Ilala, nitajie ofa yako niisikilize.
Location DAR.
CALL: 0687603307
Mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu, naomba anitajiechangamoto zake. Nataka kununua miongoni mwa gari hizo. Najua humu wapo wazoefu na ambao wamewahitumia miongoni mwa gari hizo.
Nawasilisha
Sifa
1. Rangi ni gold
2. Namba za usajili ni T244 DPS
3. Ukubwa wa injini ni 1490cc
4. Idadi ya km ilizotembea ni 77,000 kms mpaka Sasa
5. Inamwaka mmoja tokea imenunuliwa
6. Inabima kubwa iliyokatiwa mwaka huu
7. Hutumika kwenda kazini na kurudi tokea imenunuliwa
8. Haijafunguliwa popote tokea...
Toyota Raum ni gari dogo lililotengenezwa na kampuni ya Toyota na kuuzwa kwenye soko la ndani la Japan (JDM) kuanzia mwaka 1997 mpaka mwaka 2011 ambapo uzalishaji wake ulisitishwa rasmi. Gari hili liko kwenye kundi la magari madogo kwa ajili ya matumizi mbali mbali yajulikanayo kitaalamu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.