kiongozi wa dini, au mtu wa mungu akijua jambo la manufaa kwa watu wake lazima awaambie. unamwambia mtu achanje ni lini umempatia elimu ya faida na hasara za chanjo, na atakayewajibika/kutowajibika (disclaimer) na matokeo baada ya chanjo! ? kupotosha nn, kuchanja c. lazma, habari za kufa...
We una matatizo na Mh. Jackaya, na kama aisingeanza mchakato wa katiba mpya mapaka muda ulipomtupa ungelisemaje?. Ukiacha Nyerere, wengine waliofuata hata hawakuanza hata mchakato wa maoni ya wananchi/katiba na katiba pendekezwa. Amka, tumia akili ww. Dunia ya leo watu hawadanganyiki kirahisi...
Wahasibu na wadau wote wa mahesabu, kama kuna closing stock, opening stock na annual dividend, dividend per share, mmoja anamiliki 84% shares, mwingine 16% shares, ni dhahiri kwenye (dividend) hapo ndiyo kuachana kama mbingu na ardhi, hakuna cha "win win situation". Niambie ni mazingira gani...
Acha masikhara ww, yaani mgonjwa utembee kutoka Posta mpaka Mbezi kwa miguu kufata huduma katka hospitali kubwa unaona iko sawa? Kwa nn zisijengwe hizo zahanati maeneo hayo?
Pongezi kwa Wilaya zote nchini ambazo zimekamilisha/zinaendelea kujenga vituo vipya vya afya kwa fedha za Serikali.
Katika Wilaya ya Moshi Vijijini (Vunjo) kwa miaka mingi maeneo ya Kitowo, Kirararacha, Kyala, Komalyango, Nduweni, na maeneo mengine mengi ya Moshi Vijijini/Vunjo hayana vituo vya...
Hakuna haja ya kulalamika. Ndiyo maana ya utofauti na hadhi ya terminal. Kwa Mtz yeyote mjanja anajua kuwa ukitoka nje ya uwanja, opp ya termina 2, utapata huduma zote kuanzia chai, supu, chakula, vinywaji n.k kwa bei zetu mtaani, jiongeze.
Tulishatuma na tunaendelea kutuma watanzania China kwa mwendo wa hapa kazi tu. C.unajua China ni rafiki yetu mkubwa. Ila kuna Wachina 100 inasemekana walishikwa huko kanda ya ziwa wakichimba dhahabu holela, sasa cjui kama Wabongo wanaweza changamkia fursa namna hiyo kule China.
Huu ujeuri wa Kim The Nuke Kid hatuutaki EAC. Mara utasikia ile nchi iliyozindua smart phone ya kwanza Africa, imepiga hatua na sasa wana.develop Projectiles. Kwani yale mapanga shaa, shaa ya 1994 mliyatupia wapi vile mpaka mtake Nuclear power plant?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.