Zimekua zikiongoza kwa kuua watu wengi kwa wakati mmoja
Sikia huu wimbo jamaa alivyoimba kwa hisia kumuimbia rafiki yake aliekufa Kwa ajali huko morogoro
Pamoja na tabu zooote anazopitia huku duniani akifa bado hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya watu kusema nyimbo za diamond anazoproduce laizer zinakua na ubora mdogo kulingana na level yake naona kaamua kubadirisha producer kwenye African beauty ft omarion!!
Diamond sasa hao ndio producers wa level yako huyo laizer inataikiwa awe kama msaidizi tu, huu wimbo unasaund vizuri na...
Huu wimbo hauna maadili kabisa
Siufahamu jina Ila hii ni baadhi ya mistari take;
" acha waisome nambaa eeeh"
"Hutunywi sumu hatujinyongi"
"Na wavimbe wapasuke"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.