Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,734
- 4,024
Pamoja na tabu zooote anazopitia huku duniani akifa bado hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Mwafrika anaechukiwa na baadhi ya Waafrika wenzake kwa maendeleo yake.Sema HAKUNA mtu MWENYE taabu kama MASIKINI ,,,,kumbuka hata DANGOTE pia ni mwafrica,, mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa mfano wa DANGOTE, Nina maana ukiwa MASIKINI popote duniani wewe ni taabu na dhiki ,,mateso yatakuandama,,,,na ukiwa na PESA basi raha mustarehe hata ukiwa Africa ,,wapo waafrica wanaishi kwa raha kuliko wazungu,,,Ni Mwafrika anaechukiws na Waafrika wenzake kwa maendeleo yake.
Anapambana pia na dharau za wazungu katili biashara
hahahaPamoja na tabu zooote anazopitia huku duniani akifa bado hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaPamoja na tabu zooote anazopitia huku duniani akifa bado hapumziki, anatakiwa tena awe mzimu wa kutatua matatizo ya ukoo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena mnao share the same DNA, hasa mashangazi, binti wa kaka zao waakiolewa, wakipata job dahhh! Better for africans people from a far,Ni Mwafrika anaechukiwa na baadhi ya Waafrika wenzake kwa maendeleo yake.
Anapambana pia na dharau za wazungu katili biashara