Mheshimiwa Rais Magufuli aliposema tuendelee kumwombea hakukosea kwa kweli
Huku anahangaika na jinamizi la IPTL, kule Tanesco watu wake tayari na wanaendelea na yao na wanapiga kama kawaida huku wanajua hii kampuni na rushwa ni sawa na samaki na maji
Kiasi makamau wa rais wa hii kampuni...
Hivi ni nani aliyekuja na wazo la passport ya rangi ya blue?
Wazo hilo alikuja nalo nani?
Kama ni passports za Africa au Africa Mashariki je kwanini hakukufanyika consultation kujua kama hili wazo litapita?
Halafu hiyo rangi ya blue ni kiashiria cha nini hasa?
Kwani rangi ya kijani ina...
Ki biashara Tido sasa ni liability.
Bakhressa atakuwa anakumbuka jinsi gani Mkapa alivyomfanyia mwaka 95/96. (watoto wengi wa JAMII FORUMS mtakuwa hamjazaliwa bado)
Sidhani kama ataendelea kumbeba Tido ambaye ni wazi serikali ya Dr. JPM inamwona mkorofi
Bakhressa naye alituhumiwa na serikali...
Hivi mshawahi kujiuliza hali kwao ikoje? Je zaidi ya kujengewa treni tutanufaika na R&D toka kwao? Iweje wao contracts za kujenga reli wamewapatia wa China?
Ma GT wa JF naomba tuwatazame hawa wareno na Uturuki kwa jicho la 3
Hoja yangu inajikita zaidi kwenye eneo la LOCAL CONTENT & PARTICIPATION BILL na ACT ambayo inatayarishwa
Manzoni hili jambo lilikuwa linahusu makampuni ya OIL AND GAS pekee lakini mheshimiwa Rais alisema anataka haya mambo ya uweszeshaji wa Tanzania liwe kwenye kila sekta kwenye hii nchi.
Sasa...
Kuna habari kuwa kuna pesa za zanzibar zinazuiliwa na serikali ya Tanganyika. Wao wanadai kuwa wana deserve percentage ya pesa kwenye kuanzisha institutions kama BOT, TANESCO etc na wengine wanasema kuwa wana deserve 11% ya paso la Tanzania na wengine wanasema kuwa wanazuiliwa kwenda kuomba...
Nilianzisha thread kuzungumzia hizi online media zilizochipukia siku za karibuni naona ilifutwa bila sababu yoyote ile.
Anyway nilichokuwa nauliza je kuna nafasi au fursa kwa zingine kuja kwenye soko? Mahitaji ni yepi?
Naona serikali imesema akina Michiuzi, mwananchi digital na akina Millard...
Nimetembelea kwenye tovuti za wizara ya fedha, Mipango na BOT lakini kuna taarifa zimefichwa kwa sababu wametumia ujanja wa kumwaga taarifa nyingi ambazo ziko outdated na zingine hazisemi chochoke kuhusu hali ilivyo na mbaya zaidi hakuna list ya madden tuliyonayo ya miaka 10 au 5 iliyopita
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.