Tumewapatia Wareno na Waturki kujenga reli yetu je, hali ya Miundombinu ya Treni kwao zikoje?

FAKE NEWS

Member
Feb 16, 2017
59
160
Hivi mshawahi kujiuliza hali kwao ikoje? Je zaidi ya kujengewa treni tutanufaika na R&D toka kwao? Iweje wao contracts za kujenga reli wamewapatia wa China?

Ma GT wa JF naomba tuwatazame hawa wareno na Uturuki kwa jicho la 3
 
hizo ni nchi zenye technology kubwa sana ndugu yangu kua na amani kabisa
 
Hivi mshawahi kujiuliza hali kwao ikoje? Je zaidi ya kujengewa treni tutanufaika na R&D toka kwao? Iweje wao contracts za kujenga reli wamewapatia wa China?

Ma GT wa JF naomba tuwatazame hawa wareno na Uturuki kwa jicho la 3
weka picha so we can make an image impression!
 
Hivi mshawahi kujiuliza hali kwao ikoje? Je zaidi ya kujengewa treni tutanufaika na R&D toka kwao? Iweje wao contracts za kujenga reli wamewapatia wa China?

Ma GT wa JF naomba tuwatazame hawa wareno na Uturuki kwa jicho la 3


Kampuni ya Uturuki ndiyo iliyojenga Reli Dubai, umeshafika Dubai na kuona?

Halafu huu mchezo wa kujiita GT mnatia kinyaa hata hili nalo ni lzm uwe huo unaouita GT?
 
Ureno,uturuki na ugiriki ni moja kati ya nchi masikini ulaya hivyo sidhani kama wenyewe ni bora kuliko wengine

Sent using Jamii Forums mobile app


Nimesema Uturuki ndiyo waliojenga Reli ya Dubai, umefika Dubai na kuona Metro yao? Isitoshe swala la Ureno kuwa masikini ni relative, hata Uingereza ni nchi Masikini kama ukinganisha na Uswisi au Ujerumani sasa tufukuze pia Kampuni za Gesi za Uingereza?
 
Hivi mshawahi kujiuliza hali kwao ikoje? Je zaidi ya kujengewa treni tutanufaika na R&D toka kwao? Iweje wao contracts za kujenga reli wamewapatia wa China?

Ma GT wa JF naomba tuwatazame hawa wareno na Uturuki kwa jicho la 3
Ulichokiandika,Ni ukweli usiopingika.Waturuki,Wareno na Wamisri Wamepewa Miradi ya Trilioni lakini cha ajabu kwao Wachina Na WakoreaYa Kusini ndio wanaowajengea SGR,Mabwawa Makubwa n.k Kifupi Hawayapi Makampuni yao tenda.Lakini kwa uzoefu niliokuwa nao huwa hawalipani pesa bali wanabadilishana bidhaa(win ,win,situation)nakujengea SGR,nachukua labda gesi ,mafuta,dhahabu,vifaa vya kijeshi ikiwemo ndege,vifaru,helicopter,,au teknolojia za aina mbalimbali,mafunzo n.k.Hapa kwetu wanatuchaji riba hadi 22%.Tuamke,tuache blah, blah.Isitoshe tusijidanganyane.Kauli mbiu ya Hayati JPM na Mienendo yake HAKUNA wa kuiiga.Mwenyezi Mungu amemjaalia kila Binadamu Uwezo Wake.Ninawaomba kwa Heshima na Taadhima Viongozi Wetu Wa Sasa Mje na Kauli Mbiu Yenu.Kila Awamu ilikuja na kauli mbiu yake na utaratibu wake Tangia Enzi Za Baba wa Taifa Hayati Mwalimu.
 
Back
Top Bottom