FAKE NEWS
Member
- Feb 16, 2017
- 59
- 160
Mheshimiwa Rais Magufuli aliposema tuendelee kumwombea hakukosea kwa kweli
Huku anahangaika na jinamizi la IPTL, kule Tanesco watu wake tayari na wanaendelea na yao na wanapiga kama kawaida huku wanajua hii kampuni na rushwa ni sawa na samaki na maji
Kiasi makamau wa rais wa hii kampuni aliuwawa lakini jamaa wa Ubungo na wizarani wanajifanya haiwahusu.
Hongereni sana vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi mnayofanya.
Huku anahangaika na jinamizi la IPTL, kule Tanesco watu wake tayari na wanaendelea na yao na wanapiga kama kawaida huku wanajua hii kampuni na rushwa ni sawa na samaki na maji
Kiasi makamau wa rais wa hii kampuni aliuwawa lakini jamaa wa Ubungo na wizarani wanajifanya haiwahusu.
Hongereni sana vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi mnayofanya.