Habari wakuu,
Shamba linauzwa hekari 3 liko maeneo ya Mkuranga Kiparanganda karibu na njia kuu ya Kilwa road.
BEI 2.5M Kwa heka 1
N.B Picha sina,ni dharura kuna mtu kapata shida.Asantheni .
Wakati anapewa number hakuwa na shida ya mawazo yako sasa ulitaka akwambie ili iweje?
Ila sasa ndo anashida ndo maana kalileta jamvini. Kama huna cha kumchangia heri ukae kimya kuliko kumuita mtu mnafiki na kujifanya mjuaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.