Hamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.
Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.
Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi...
Ki ukweli nimekasirishwa,,,
Kitendo cha Serikali kuruhusu soda kupanda bei sisi wanywaji wa Bia kimetukasirisha.
Naiuliza serikali:
Kwa nini hamtupandishii bei ya Bia na Sigara? Kwa heshima na taadhima naiomba serikali mtupandishie bei Bia na sigara. Bia inayouzwa 1500 sasa hivi iuzwe 3000, na...
Ndio iko hivyo,
Ukisemwa ukweli utahojiwa na ukisemwa uongo nao utahojiwa.
Kuhoji huko hakutakuwa na ubaya maana kutakuwa na hoja.
Hata sijui nimeandika nini hapa,, mlioelewa mnieleweshe sasa
WhatsApp wameweka kiwangao cha washiriki (Group member) kuwa ni 256.
Ni nini siri ya hii number 256 kwa WhatsApp.
Yaani kwa nini 256 na sio 255,254 nk.
Najua wangeweka number yoyote pia ningehoji na hata sasa wakibadilisha na kuwa 556 bado pia nitahoji.
JF ya wabobezi mtusaidie kuna siri gani...
Hadi muda huu sijajua ni sababu gani hasa kwa hawa watengeneza simu kushindwa kutuwekea sehemu ya kuweka line nzima ya simu hadi tuikate.
Yaani pamoja na kututengenezea simu kubwa,Tablet nk lakini wameona line zetu kuingia bila kuzikata zinawachukulia nafasi kubwa?
Jambo hili linakera mno kwa...
Kuna jamaa mmoja nimekutana naye akaniambia eti Tanzania kuna watu wamesoma hadi kuwa profesa ila hawajaajiriwa na wanasota vijiweni huku wakiota joto ya jiwe.
Eti kuna watu wana PhD nao wanaota joto ya jiwe.
Nalazimika kuanzisha uzi huu na hapa nitawahoji.
Wanaokubaliana na mimi semeni...
Zamani nilidanganywa kwa kuambiwa kuwa ukiwa na pesa utapata kila kitu, kweli nikapambana na nikafanikiwa kwa kiasi chake.
Ki ufupi nimewekeza kwenye biashara zisizofilisika. Na kwa siku napata laki nane hadi tisa (hiyo ni faida kwa kila siku).
Ila kinachonishangaza nimejikalia tuu nyumbani...
Ni ukweli usiofichika kuwa kwa sasa jina la Piere Liquid halisikiki tena masikioni mwa watu, ni kama amepotea (ngoma ikilia sana inakaribia kupasuka)
Ni muda sasa kwa manabii na mitume kucheza karata kiusahihi kwa kumleta/ kumshawishi bwana Piere akubali kuokoka na aje kusali kwenye kanisa lako...
Hii ni mada ya madocta waliosoma tena wakaelimika, hivo ngumbaro piteni hivi
Inasemekana huu ni ugonjwa ambao unamuwehua mtu bila kupenda, yaani unajikuta kichaa bila kupenda paranoid shizophenia
Nini kinachofanyika?
Ni mtu/ au binadamu unachukuliwa na kufungiwa kwenye chumba cha peke yako na...
Ni hivi:
Nimejikalia zangu bar na ki elfu tano changu cha mawazo, na sasa najipatia kakinywaji kangu uchwara ka balimi huku nacheki mechi ya spurs na arsenal.
Wakati mimi nakunywa kibalimi changu cha mawazo waliokuja jirani zangu masharobaro wamekuja kunivamia mezani na wameagiza maSAVANA na...
Wote tunashuhudia yanayoendelea na unapojaribu kufukunyua unakutana na kigingi cha utetezi: nilitumwa kufanya hivi
Ukimpata aliewatuma unakuta ana kinga ya kutokushtakiwa kwa mambo aliyofanya akiwa kama raHisi.
Nadhani muda wa kuwaondolea hii kinga umewadia ili wajue watakapofanya ujinga...
Uzi wa matajiri
Jaribu kufikiria unakutana kijana anaejiita sharobaro au masister duu amebeba kitecno chake mf kiCAMON X cha vilaki vinne huku amekishindilia makava na maprotecter hadi kisimu chake uchara kinageuka kuwa mzigo
Ni vile watu hawajui: simu matumizi yake ni mwaka mmoja na ikizidi...
Ni hivi: Nilikuwa nimejikalia zangu najipatia mvinyo wangu pendwa wa safari Lager, pembeni yangu walikaa walokole wanaomsujudia Yehova. Gafla bin vuu mmama mmoja akatoka kwenda kumwaga wese.
Wakati anarudi akaigonga meza yangu na mabia yangu kunimwagikia chapa chapa na mbaya zaidi hadi sigara...
Hadi muda huu nakaribia miaka 60 sijui maana au sababu hasa ya kukimbiza mwenge. Jf ya wabobezi nisaidieni mwenge una tofauti gani na KIBATARI kikubwa?
Tetesi zimeshaanza kuzagaa, na hivyo ccm kujiondolea aibu ni kutafuta pa kujificha, ilani imekwamishwa na AMUNIKE. Kujiuzulu ni heshma kuliko kufukuzwa. Ni hayo tu. Munisamehe
Nimesononeka sana,nimesikitika sana na sasa nasema nimekosa mimi,nimekosa mimi,nimekosa sana na ndio maana nawaandikieni nyie watu wa AZAM na STAR TIME, baada ya kutuletea aplication zenu kwenye simu tulizidownload tukitarajia tunapochelewa kurudi majumbani mwetu huku tukiwa kwenye usafiri wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.