Kuwekea simu cover na screen protector ni ushamba

shirima Mathias

JF-Expert Member
Feb 9, 2017
451
1,320
Hamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.

Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.

Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.


Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.

Nadhani Mmeelewa
 
Hamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.

Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.

Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.


Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.

Nadhani Mmeelewa
Sema mliosoma kiswahili unadhani sisi wat wa IT TUKO SAWA


USSR
 
amesiliba liTecno lake la vilaki vinne
Blaza usidharau pesa. Hiyo laki nne ni mshahara wa mtu mwenye mke na watoto na familia inasonga na chooni wanaenda bila tatizo.

Nimeshuhudia vijana wengi waliokua wana kibri cha pesa kama wewe hivyo kwa sasa hawapo ktk ramani kabisa buku wanaisaka kwa tochi.

Sikutishi ila nakukumbusha tu "be humble"...
 
Mwaka Mmoja ni kwa masikin na watu wanaoishi kwa kuunga unga kama wewe mleta Uzi

Sisi Kila baada ya kuinunua tu simu dukani tukiitumia tu kidogo tunaiona ya kawaida sana hivyo tunanunua nyingine

Nyumban tumejaza sim utazan tunaduka,

Inafika kipindi nikishuka kwenye gari Nina Hadi simu nane kwenye mkono zote sim janja Kali

Sasa ww ka sim kamoja unakaanako mwaka mzima na hakana cover Wala protect huo siyo u masikin tu Bali ni ukapuka uliochanganyika na upungufu wa akiri.

Usiige Kunya kwa tembo.......

Mitano tena


Na long out.
 
Hata mimi mambo ya kuweka makava na protector sijui naonaje, hasa mademu unakuta bonge la kava simu linakuwa kama kitabu. Wapo watu sio watunzaji wa simu au mazingira yao ya kazi hulazimika kuweka hizo protector ila mwengine simu bila kava na protector anaona kama sio simu.

Mie napenda kitu kiwe kama kilivyo uchi.
 
Hamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.

Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.

Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.


Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.

Nadhani Mmeelewa
Mkuu unabadilisha kwa kuitupa au unamuuzia mtu
 
Blaza usidharau pesa. Hiyo laki nne ni mshahara wa mtu mwenye mke na watoto na familia inasonga na chooni wanaenda bila tatizo.

Nimeshuhudia vijana wengi waliokua wana kibri cha pesa kama wewe hivyo kwa sasa hawapo ktk ramani kabisa buku wanaisaka kwa tochi.

Sikutishi ila nakukumbusha tu "be humble"...
Anajua sanaaa, ila anajizima data tyuuh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom