shirima Mathias
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 451
- 1,320
Hamjambo,
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.
Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.
Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.
Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.
Nadhani Mmeelewa
Huwa nakereka sana pindi nimuonapo mwaume na Madevu yake amesiliba liTecno lake la vilaki vinne kwa makava na maprotekta.
Kama uko hapa na umesiliba liTecno lako hivyo nakutaka uondoe huo uchafu haraka.
Waliotengeneza hizo simu hawakutengeneza makava na hivyo uache ushamba maandazi.
Kwa msiojua simu matumizi yake ni mwaka mmoja na baada ya hapo unatakiwa ubadilishe.
Nadhani Mmeelewa