[emoji3][emoji3][emoji3] kwenye mbio hapo mie ni muoga mzee nadhani nikitembea sana 120. Thanx kwa experience yako mzee.
Pia mie siichukui kwa ajili ya safari ndefu ni mizunguko yangu tu na kwenda job basi hizo safari itokee mara moja moja tu
Ngoja nijilipue mkuu japo ndo itakua gari yangu ya kwanza ila nimefanya research na nimejiridhisha nimetoa uoga, maana nilikua na chaguo la Mark x kabla
Baada ya kupitia mijadala mingi kuhusiana na huu mkoko nimeamua kwa dhati kabisa kujitosa kuuagiza used kutoka japan huenda muda mwingine uoga wetu tu unatufanya kushindwa kuwa na vitu vizuri.
Kuna sehemu za beach na maeneo mengine ya kawaida sijui wewe unapendelea yepi mkuu ila kwa starehe kigamboni bado kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo zinazopataga ajali kuna nchi fulani nishafanya nao kazi kuna gari zao nyingi tu zimepata ajali na wametenga sehemu wanazihifadhi then wanazipiga mnada mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.