Mtanzanyika
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 370
- 424
Heshima kwenu wakuu,
Napenda kufahamu endapo CIF price ya gari unayotaka kununua inapokuwa kubwa kuliko CIF price ambayo TRA wameiweka kwenye calculator yao
Je, wakati wa kulipa kodi gari inapofika nchini TRA wata-consider CIF price ipi.? Kwa mfano, CIF price ya Toyota Harrier ya mwaka 2009 kwa Beforward ni USD 3790, lakini kwenye calculator ya TRA ni USD 3500.
Je gari hii itakapofika nchini, kwenye ulipaji wa kodi TRA wata-consider CIF price ipi ili kuchaji VAT.?
Wata-consider ya kwenye calculator yao au wata-consider uliyolipa mteja kwa Beforward.?
Karibuni kwa majibu na maelezo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Napenda kufahamu endapo CIF price ya gari unayotaka kununua inapokuwa kubwa kuliko CIF price ambayo TRA wameiweka kwenye calculator yao
Je, wakati wa kulipa kodi gari inapofika nchini TRA wata-consider CIF price ipi.? Kwa mfano, CIF price ya Toyota Harrier ya mwaka 2009 kwa Beforward ni USD 3790, lakini kwenye calculator ya TRA ni USD 3500.
Je gari hii itakapofika nchini, kwenye ulipaji wa kodi TRA wata-consider CIF price ipi ili kuchaji VAT.?
Wata-consider ya kwenye calculator yao au wata-consider uliyolipa mteja kwa Beforward.?
Karibuni kwa majibu na maelezo
Sent from my iPhone using JamiiForums