No. Ilikuwa ni conversation tu kwamba kuna mtu unamjua? Nahitaji secretary...sasa mimi sina mtu wa design hiyo, ndio nikapost. Ajabu watu wanaona natafuta demu!!! wakati nina thread ya kutafuta mke na nikaleta na mrejesho, na kika ninachoandika anakiona.
Wakuu hamjambo?
Nina rafiki yangu Muhindi ambaye ana Kampuni inayohudumia bandari za Tanzania (TPA), anahitaji binti wa kukaa mapokezi/Secretary wa Kampuni.
Awe anajua Kingereza, kutype/Microsoft Word, Excel na Outlook. Awe na elimu yoyote kuanzia ngazi ya Diploma. Form six anaweza kufikiriwa...
Kila mtu anaona jinsi RC wa Dar es Salaam anavyotapatapa kwa Viongozi wa Dini. Jambo hili Manji alilisema kwenye press conference yake kwamba Makonda alipaswa kutafuta Viongozi wa Dini wamsaidie kabla hajakurupuka.
Matokeo yake ameona umuhimu huo baada ya kuwa aneshaharibu. Binafsi naona Manji...
Habari zenu wanaJF,
Hapa kazini kuna mfanyakazi ambae aliniomba mkopo na hhatukuandikishana. Nimejaribu kumdai lakini ameishia kutaka kunidhulumu maana kila tukionana ananikwepa.
Naomba ushauri, ni taratibu gani za kufuata endapo unadai deni ambalo hamkuandikishana?
Unakuta mtu anatangaza biashara, unafika eneo la tukio, ila unakuta amebashite, yaani kwenye WhatsApp alikwambia simu ni Original, ukifika eneo la tukio anakuonyesha kibashite cha hivyo hovyo!
Acheni izo.
Mkuu acha unafiki. Hakuna jumapili yoyote ambayo Gwajima hakutaha CV yake, anaitaja kila jumapili: Aliumwa miaka 6, akaponywa na Yesu, akamaliza chuo, akawa Mchungaji/Mtumishi....FULL STOP. Tatizo umezoea CV ni lazima iandikwe kwenye Microsoft Word na iwe na page 2.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.