Samahani,nilichelewa kuchukua hii video,
Lisaa limoja kabla mechi kuanza timu nzima ya JWANENG iliingii uwanjani ikiongozwa na kocha wao msechu,
Kocha akaenda katikati ya uwanja akamwaga vitu kama unga,akaja goli la kwanza akamwaga na goli la pili akamwaga watu wakawa wanazomea....
Kipindi hiko...
MZEE TUTUME MACHAWA TUKADAI [emoji108][emoji2957][emoji3]
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote...
Ngao ya jamii - wanaume
Ngao yajamii - wanawake
Mashabiki bora Afrika
Ufunguzi wa kishindo AFL
ubunifu - kibegi,simba day,whatsap channel,visit zanzibar
[emoji23][emoji23][emoji23]
"Simba imeshafanya mambo mengi makubwa, yaliyopita, yanayofanyika sasa na mengine yanakuja."
"Sisi mliotupa dhamana tupo tayari kupokea maoni ambayo yataipeleka Simba mbele."
"Lengo letu ni kujenga umoja. Mfano mtu anasema uwekezaji hauna faida wakati kabla ya uwekezaji mapato yalikuwa Tsh...
ADEL AMROUCHE AMEIGHARIMU TFF USD 10,000
Shirikisho la mpira wa Miguu Barani Africa (CAF) limeipiga Faini ya USD 10,000 Shirikisho la mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kutokana na tuhuma za Kocha Adel Amrouche Kwa Shirikisho la mpira wa Miguu la Morocco (FRMF)
Kocha Adel Amrouche aliituhumu...
[emoji3590][emoji1478] Maignan: "We can’t play football like this, we should stop. 𝐖𝐞 𝐜𝐚𝐧’𝐭 𝐚𝐜𝐜𝐞𝐩𝐭 𝐫𝐚𝐜𝐢𝐬𝐦".
“At the first goal kick I heard monkey chants, I didn’t say anything. Second goal kick… they did it again so I called the bench and fourth referee to stop the game”.
“There needs to be...
Hivi wana nia ya dhati? Au ndio wanazuga watu,maana ukiingia katika kiunganishi(link) walichotoa hakifikiki,na ukiingia kupitia simu via *152*00# unatakiwa uwe faster kama unataka kuweka mkeka nafikiri wanatumia janjajanja ya kanjibai zamani ili tushindwe kufikia malengo,maana wanatoa dakika 1...
[emoji599] Cristiano Ronaldo: “𝐒𝐚𝐮𝐝𝐢 𝐋𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐢𝐬 𝐛𝐞𝐭𝐭𝐞𝐫 𝐭𝐡𝐚𝐧 𝐋𝐢𝐠𝐮𝐞𝟏 already now, I’m sure of that" [emoji1210]
◉ “Saudi Pro League is more competitive than Ligue1, I can say that after one year spent there and I’m sure”.
◉ “We are better than French league already now”.
◉ “I feel so happy at Al...
Huwa nikisikia Shabiki kwenye Kipaza sauti anaanza kwa kusema “Tunaoumia ni sisi Mashabiki kuliko wao” basi naachana na kusikiliza naendelea na mambo mengine, kwenye huu mpira wetu wa Bongo hakuna Shabiki wa Simba wala Yanga anayeumia kuliko Matajiri wanaoweka mzigo wao kwenye hizi timu.
Yaani...
[emoji599] EXCLUSIVE:
Peter Banda is close to joining KMC. [emoji1156][emoji92]
Singida still having issues concerning their ban by FIFA. Money has become difficult. [emoji3578]
Also told, some players like Kyombo, Rupia, Marouf can all possibly leave to Ihefu.
#Transfers
#AfricanFootball...
Maoni yangu kuhusiana na muda/ dakika zinazoongezwa baada ya dakika 90 za mchezo kumalizika (additional or added minutes), maoni yamejikita kwenye ukweli na uhalisia wa jambo lenyewe kwa wale ambao hawana uelewa kuhusiana na huu muda/dakika za nyongeza.
MPIRA NI MCHEZO WA MAKOSA
Kagere kukosa...
Can confirm:
JS Kabylie have expressed strong interest in the signing of Willy Onana from Simba SC. First offer set to arrive next week. [emoji599]
JSK want Onana as a replacement for Msuva who they parted ways with recently.
Also, on the list is Abedi Bigirimana from Police Kibungo in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.