On Friday and Saturday I spent a strange couple of days attending a conference at SOAS (partially sponsored by the RAS). It was called Rwanda under the RPF: assessing 20 years of post-conflict governance. I dont normally have much time for write-ups of conferences like this, unless Paul...
Just over a fortnight ago, Jakaya Kikwete, President of Tanzania, kicked off a firestorm of controversy with what many in Rwanda and outside of it saw as a terrible faux pas. It started with what would have struck followers of events in the Great Lakes region, as a common-sense proposal by the...
Jamani angalie TBC1 hao wanaadhimisha miaka 35 viatu vibovu namna hiyo, shame on you CCM, mmenunua Tshirt kwanini hamkununua Suruali na Viatu hata yebo yebo kuficha aibu yenu.
Uteuzi wa CCM kwenye kiti cha mkuu wa bunge unaweza kuwa ni nafuu kwa upinzani. Sisi hapa ni watu tunaofikiri beyond today, tuache kulalamika sana kuwa walioteuliwa watabana upinzani, what am saying hata angeteuliwa Chenge na uchafu wake wote na akawa Speaker then that was the responsibility ya...
Ili kuwaokoa msife kwa vidonda vya tumbo chukueni hii, modes please iacheni kwa muda watu wacheke otherwise watakufa kwa stress then you can move it to vichekesho
http://www.startvg.com/videos/girlabstracted.html
Jamani kama mnawezakunisaidia majibu ya vitu vifuatavyo nimeangaika kiasi cha kutosha na wenye navyo hawajibu
contribution of Banking sector to Tanzanian Economy in term of GDP percentage
Market share of various banks in tanzania, if NMB is there i will be glad
Total banking assets increase...
Hivi tunaweza kupata jinsi ya kulinda hizi pesa zinazopokwa na serikali zisiishie kwenye uchaguzi mwaka kesho maana napata tabu kuna njia nyingi zitatumika kuakikisha wanapata pesa ya uchaguzi hata tukibana kiasi gani
Kilimo kinaingia katika nyanja ya sayansi na anga za juu, wakati tanzania bado tunaendelea kutumia jembe la mkono. Hivi inawezekana mkulima wa ngano kule arusha kushindana na mkulima wa ngano wa Ufaransa kama kuna gap kubwa la maendeleo namna hii.
Serikali yetu na wahindi wao wanaojifanya...
Kulinga na taharifa ya habari ya BBC leo asubuhi, kiongozi wa alijitangazia ushindi katika kura ambayo imekuwa ni aibu kwa africa Robert Mugabe amesema kiongozi yeyote aliye msafi africa na amwambie kuwa hajashinda kihalali ili na yeye amuulize kwake yeye alishinda kihalali au alishinda kwa njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.