Mdau,
Swali la kizushi: Kwanini, Mkuu ambaye siti yake ipo wazi hapo pembeni huwa haudhurii kwenye vikao vya Baraza la Mawaziri la Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati nafasi yake ipo na Mafaili, Microphone, Kikombe cha Chai/Kahawa na Maji plus Kibao cha jina katengewa kabisa?
Kwa hiyo Shein ni sawa na waziri yeyote tu?Karume huwa anakacha maana anakuwa kama anadhalilika....anakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri...sawa na waziri yeyote yule....