Habari wakuu?
Naomba niende kwenye hoja ya msingi,
Kuna mzigo nimeagiza kutoka china, sasa umekaribia kufika... wakati nafikiria jinsi ya kuutoa bandarini, nikakumbuka kuna kipindi lilitoka tamko kuwa mtu mwenyewe(nikimaanisha mwenye mzigo) ana uwezo wa kufanya clearance ya mzigo wake mwenyewe...
Habari wakuu?
Nlikuwa nafikiria kumchukulia mama angu gar ya kuwa anatembelea hapa mjin, gar ambayo unywaji wake wa mafuta hautomtesa lakin pia yeye kama mama atafanana nayo.
Mimi kama mimi, naikubali sana Premio model ya kuanzia 2004 had 2006 ambayo imezoeleka kama premio new model, mapenz...
Habari wakuu,?
Samahani wakuu..Hivi kwa hapa Tanzania, nawezaje kujua majina ya consulting firms ambazo zimepewa kazi ya ku design structure mbalimbali, kabla hata consultant hajamaliza kazi yake ya ku design? Yan ile amepewa kazi ya kudesign... uweze kujua jina la project na consulting firm...
Habari wakuu..?
Wakat nafikiria hekaheka za kuachana na kuminyana kwenye mwendokasi, Kuna jamaa anataka kuniuzia premio new model yenye namba DA... kwa shillingi million 7.
Nipo najifikiria kwa hyo bei.. hisije ikawa jamaa anataka kuniuzia gari ya mbio( yani ya wizi).
Swali langu sasa...
Habari wakuu...? Katika kupita pita instagram, nimekutana na jamaa wapo zanzibar... wanauza samsung tv curved 55" kwa laki 6 na usafir elf 30... jumla 630k.
Nipo najifikiria kuichukua... lakin kwa hyo bei nahisi kuna dalili za kupigwa...
Naomba tupeane uzoefu katika hili...
Habari wakuu,
hapa nataka tutumie vipaji vyetu vya kubashiri kwenye mambo ya msingi kidogo.
Tusaidiane kuweka vichwa vya habari vya issue kubwa kubwa za kiuchumi zilizotokea africa mashariki kwa ujumla, tangu awamu ya tano ianze.
Naamin kijana akipitia katika ishu zoote zitakazowekwa hapa...
Habari zenu wakuu?
Kuna baadhi ya maswali huwa najiuliza kuhusiana na auditing firms hapa tanzania, kwa yeyote mwenye uelewa naomba anipe maelezo.
Hiv kwanin makampuni mengi ya wazawa hayafanyi vizur km ilivyo makampuni ya nje kama kina KPMG, PWC n.k?
vijana wengi wa field ambazo ni tofauti na...
Kuna bint nliwahi kumpenda mnoo...nimemfukuzia kwa kipind kirefu bila mafanikio... kila nikimtongoza anakataa lakin akawa haachi kunitafuta kwenye simu.
Katika kipind chote hko ilikuwa inaonyesha hana mtu, lkn alipofika chuo mwaka wa mwsho akawa ananionyesha wazi waz kuwa ana jamaa yake na...
Habari zenu wakuu?
Naomba niende moja kwa moja kwenye utata,
Juzi kati nlikutana na mwanamke flani nikavutiwa nae kimapenz, nikamtongoza tukaelewana fastaaa.
Baada ya kuanza uhusiano, akaanza kuniandalia mazingira nimtafune, mi kwakuwa sikumjua vizur nikawa na hofu nikawa najisemea "anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.